Unataka Kupima kama huyo Mpenzi wako ni Wife Material? Mpeleke kwa Mama Ntilie, akisumbua mhudumu mara 3 kwa sababu zinazovumilika PIGA CHINI!

Msiwe mnapenda kuwapa watoto wa watu mitihani ya roho mbaya ili kuprove point kuwa anafaa au hafai.

Kwahiyo mtakuwa mnakula kwa mama ntilie au?

Why sasa iwe kipimo cha kumpimia mke in the first place kama sio uchawi.
 
What has to do with love?? Sijakupata kabisa Yan mim kukosoa kitu ndo iwe sababu ya kuachika kheee umalaika gan huo niliokua nao jaman

Wanaume wengi hamjui kujudge chakula ni wachache sana wanafanya Ivo ila Kwa wanawake Hilo ni kawaida sana Kwan kusema sili nyama ya mafuta Kuna tatizo? Na hii Hali ya hewa upewe soda ya moto itashuka kweli? Juice za kutengeneza hazina usalama ndio tumeona kwenye mitandao wanavoosha miguu kwenye juice ndo watengeneze sijaona baya alilofanya
 
😁😁😁
Mimi usumbufu wangu unakuwaga kwenye namna ya kushika chupa ya soda mhudumu/muuza vinywaji anaponiletea.

Sipendi ashike shingo ya chupa.

Upande wa chakula nitamsumbua kwenye kufuta meza kabla hajaleta chakula.

Hili nalo ni tatizo?
 
Sasa unamkimbia unakwenda wapi?
Unamwachia nani? 😁😁😹
 
Noted,nitaisave hii kwenye diary...
 
Hayo sio matatizo, ila Hilo la kushika chupa ya soda Bora utembee na tissue Yako uwe unafuta soda, ukilalamika watasema unajishaua😂
 
What has to do with love?? Sijakupata kabisa Yan mim kukosoa kitu ndo iwe sababu ya kuachika kheee umalaika gan huo niliokua nao jaman
Nikikupeleka kwa wakwe utaanza kumsumbua mama yangu maana ushaonekana ni mtu wa high maintenance, usije kusema bimdashi anapika mchuzi nyanya zinaelea wakati sisi ndio tunavyokulaga
 
Ndio Ndio uanze kusumbua watu kwa chakula cha 1500 kweli?
 
Of course, mwanaume Sio kama kuku anayerudi bandani kwa majira ya jua kuzama
Muwe mnasema tu ukweli kwamba mnataka wanawake watakaowavumilia tabia zenu mbovu kama ulevi na uasherati msiseme mambo madogo madogo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…