Unataka Kupima kama huyo Mpenzi wako ni Wife Material? Mpeleke kwa Mama Ntilie, akisumbua mhudumu mara 3 kwa sababu zinazovumilika PIGA CHINI!

Unataka Kupima kama huyo Mpenzi wako ni Wife Material? Mpeleke kwa Mama Ntilie, akisumbua mhudumu mara 3 kwa sababu zinazovumilika PIGA CHINI!

Why sasa iwe kipimo cha kumpimia mke in the first place kama sio uchawi
Leo anamfanyia muhudumu kesho hizo tabia zitahamia kwako na zitaanza kuwa kero, ghafla utasikia huwa nakula mlenda ila Siri Mchuzi wa bamia
 
Uk
Muwe mnasema tu ukweli kwamba mnataka wanawake watakaowavumilia tabia zenu mbovu kama ulevi na uasherati msiseme mambo madogo madogo
Ukiona mwanaume hajaacha au kupunguza uasherati na ulevi basi ujue huchezi vizuri nafasi Yako kama mke, mwanaume ni kama mbwa anachokihitaji akikipata nyumbani bais saa 12 jioni atakuwa hapo
 
Uk
Ukiona mwanaume hajaacha au kupunguza uasherati na ulevi basi ujue huchezi vizuri nafasi Yako kama mke, mwanaume ni kama mbwa anachokihitaji akikipata nyumbani bais saa 12 jioni atakuwa hapo
Si kweli wanaume wengi huwa wanakiri kabisa kuwa hawatosheki na mwanamke mmoja ati ni nature, kwahiyo mtu wa hivyo unaona kabisa hata mke afanye nini atakuwa anajichosha tu, huwa mna visingizio vingi vya kuhalalisha maovu yenu ilihali ukweli mnaujua kabisa kuwa hamko tayari kutulia hata wake zenu wafanye mazuri gani
 
What has to do with love?? Sijakupata kabisa Yan mim kukosoa kitu ndo iwe sababu ya kuachika kheee umalaika gan huo niliokua nao jaman

Wanaume wengi hamjui kujudge chakula ni wachache sana wanafanya Ivo ila Kwa wanawake Hilo ni kawaida sana Kwan kusema sili nyama ya mafuta Kuna tatizo? Na hii Hali ya hewa upewe soda ya moto itashuka kweli? Juice za kutengeneza hazina usalama ndio tumeona kwenye mitandao wanavoosha miguu kwenye juice ndo watengeneze sijaona baya alilofanya
nakwede97 Anastasia21 Xi Jinping Natafuta Ajira Extrovert Zemanda Fanton Mahal Melancholic mm binafsi nina theory yangu, ukiacha swala la kumshirikisha Mungu ili mwanaume upate wife material, hii ni njia ya kum-test mdada kama ni wife material, hii test wanawake wengi sana huwa wanafeli

Generosity test:
Mwanaume unamuomba girlfriend wako, au hata mdada ambae una mpango wa kumtongoza, unamuomba kitu kidogo sana, like unamuomba akununulie andazi, au lunch. Simaanishi mwanaume ndo uwe marioo, jukumu la ku-provide linakua palepale, ila unamuomba halafu unaangalia reaction yake..mara nyingi it's aidha akunyime au akupe huku analalamika

Hii test ni noma sana, many women wanafeli hii test, ndo utajua girlfriend wako ni mtu wa namna gani, like hata ukimuoa hatopenda wageni, na ndugu wa mume from start, ataona wanammalizia chakula..

Hii test pia inaonesha her interest level kwa mwanaume, mwanamke asiekupenda hawezi kubali ule vyake, most of times na hii test utagundua kumbe girlfriend ulienae ni mchoyo/golddigger/ kwako kajiegesha tu

NB: Mwanaume ukitaka wife material hakikisha na wewe ni husband material, sio unaotaka wife material ila unachepuka, huhudumii familia, unanyanyasa mke na watoto, etc
 
Si kweli wanaume wengi huwa wanakiri kabisa kuwa hawatosheki na mwanamke mmoja ati ni nature, kwahiyo mtu wa hivyo unaona kabisa hata mke afanye nini atakuwa anajichosha tu, huwa mna visingizio vingi vya kuhalalisha maovu yenu ilihali ukweli mnaujua kabisa kuwa hamko tayari kutulia hata wake zenu wafanye mazuri gani
Wanaume tunaweza kutosheka na mwanamke mmoja shida ni kujiendekeza tu, mwanaume kuwa na mke mmoja inawezekana Jadda
 
nakwede97 Anastasia21 Xi Jinping Natafuta Ajira Extrovert Zemanda Fanton Mahal Melancholic mm binafsi nina theory yangu, ukiacha swala la kumshirikisha Mungu ili mwanaume upate wife material, hii ni njia ya kum-test mdada kama ni wife material, hii test wanawake wengi sana huwa wanafeli

Generosity test:
Mwanaume unamuomba girlfriend wako, au hata mdada ambae una mpango wa kumtongoza, unamuomba kitu kidogo sana, like unamuomba akununulie andazi, au lunch. Simaanishi mwanaume ndo uwe marioo, jukumu la ku-provide linakua palepale, ila unamuomba halafu unaangalia reaction yake..mara nyingi it's aidha akunyime au akupe huku analalamika

Hii test ni noma sana, many women wanafeli hii test, ndo utajua girlfriend wako ni mtu wa namna gani, like hata ukimuoa hatopenda wageni, na ndugu wa mume from start, ataona wanammalizia chakula..

Hii test pia inaonesha her interest level kwa mwanaume, mwanamke asiekupenda hawezi kubali ule vyake, most of times na hii test utagundua kumbe girlfriend ulienae ni mchoyo/golddigger/ kwako kajiegesha tu

NB: Mwanaume ukitaka wife material hakikisha na wewe ni husband material, sio unaotaka wife material ila unachepuka, huhudumii familia, unanyanyasa mke na watoto, etc
Jaman eh mbona test nyingi ivi adi kuigiza sitofanikiwa 😹💔
 
Haiko mbali na ukweli, ukitaka kuona tabia ya mtu, angalia vile anavyowatreat wengine hasa wale walio chini yake.
Hujakosea.. unakuta mtu jambo dogo tu linalohitaji nukta sifuri kulivumilia analikomalia utafikiri amekatwa nyama ya paja.. Wanadamu tumeumbwa kwa hulka na namna nyingi za uvumilivu,shida nyingi zinazotupata katika maisha ni namna tunavyoshindwa kutambua tabia za watu tunaochangamana katika harakati za maisha...
 
nakwede97 Anastasia21 Xi Jinping Natafuta Ajira Extrovert Zemanda Fanton Mahal Melancholic mm binafsi nina theory yangu, ukiacha swala la kumshirikisha Mungu ili mwanaume upate wife material, hii ni njia ya kum-test mdada kama ni wife material, hii test wanawake wengi sana huwa wanafeli

Generosity test:
Mwanaume unamuomba girlfriend wako, au hata mdada ambae una mpango wa kumtongoza, unamuomba kitu kidogo sana, like unamuomba akununulie andazi, au lunch. Simaanishi mwanaume ndo uwe marioo, jukumu la ku-provide linakua palepale, ila unamuomba halafu unaangalia reaction yake..mara nyingi it's aidha akunyime au akupe huku analalamika

Hii test ni noma sana, many women wanafeli hii test, ndo utajua girlfriend wako ni mtu wa namna gani, like hata ukimuoa hatopenda wageni, na ndugu wa mume from start, ataona wanammalizia chakula..

Hii test pia inaonesha her interest level kwa mwanaume, mwanamke asiekupenda hawezi kubali ule vyake, most of times na hii test utagundua kumbe girlfriend ulienae ni mchoyo/golddigger/ kwako kajiegesha tu

NB: Mwanaume ukitaka wife material hakikisha na wewe ni husband material, sio unaotaka wife material ila unachepuka, huhudumii familia, unanyanyasa mke na watoto, etc
Mimi sio mchoyo kwenye chakula usiniombe hela maana jibu langu ni Sina ila ukisema Nina njaa basi nitanunua chakula ule
Wanasema binadam mnyime Kila kitu ila sio chakula
 
Nikikupeleka kwa wakwe utaanza kumsumbua mama yangu maana ushaonekana ni mtu wa high maintenance, usije kusema bimdashi anapika mchuzi nyanya zinaelea wakati sisi ndio tunavyokulaga
Hayo ni maisha yetu watanzania ila sio kwa kwenda ununue chakula ukute hakina ubora
 
Si kweli wanaume wengi huwa wanakiri kabisa kuwa hawatosheki na mwanamke mmoja ati ni nature, kwahiyo mtu wa hivyo unaona kabisa hata mke afanye nini atakuwa anajichosha tu, huwa mna visingizio vingi vya kuhalalisha maovu yenu ilihali ukweli mnaujua kabisa kuwa hamko tayari kutulia hata wake zenu wafanye mazuri gani
Mkuu hiki ni kisingizio cha wanaume waasherati lili kuhalalisha matendo yao. Binadamu anatakiwa aweze ku-control hisia zake. Ohooo.
 
NB: Mwanaume ukitaka wife material hakikisha na wewe ni husband material, sio unaotaka wife material ila unachepuka, huhudumii familia, unanyanyasa mke na watoto, etc
Hapo kwenye kuchepuka sometimes tuwaelewe tu wanaume wenzetu. Linapokuja suala la sex mwanaume yupo tayari muda wowote siku yoyote lakini wanawake wana changamoto na visingizio vingi sana.

Mara kachoka, mara yupo p, mara kichwa kinauma mara mara mara ni nyingi sana. Hapo kumbuka akijifungua anahitaji angalao miezi miwili ya kurecovery. Katika situation kama iyo ukiona mume wa mtu anachepuka usikulupuke kumlaumu.

Lakini hapo kwenye kutohudumia familia na kunyanyasa mke huo sio ustaarabu
 
Lakini hapo kwenye kutohudumia familia na kunyanyasa mke huo sio ustaarabu
Kwenye kunyanyasa mke na kutokuhudumia familia hapa mi naona Kuna walakini , asilimia kubwa hamna anayeulizaga mwanaume anapitia nini mpaka kutelekeza majukumu yake; wanawake wengi huharibu mahusiano na mababa wa watoto zao kwa mikono Yao wenyewe; viburi, dharau (hamna kitu mwanaume mpambanaji hapendi kama hichi) na kadhalika na kadhalika, mwanamke akishapoteza hadhi ya uanamke kwenye macho ya mwanaume wake basi ujue ataanza kukutreat kama mwanaume mwenzako ambaye anapambana nae
Mwanamke asipojishusha kwa mumewe na akataka kila vita wakutake uso kwa uso ndo tunafikia huku
 
Back
Top Bottom