Robert Heriel Mtibeli
JF-Expert Member
- Mar 24, 2018
- 28,297
- 68,017
UNÀTAKA KUWA NA MVUTO KIJAMII, KISIASA AU KIUCHUMI ILI UPATE PESA AU MAFANIKIO? FANYA MAMBO HAYA KISHA NJOO UNISHUKURU.
Anaandika, Robert Heriel
Mtibeli
MVUTO, mvutano. Kani au nguvu ya Uvutano.
Maisha ni Ñguvu ya Uvutano, MVUTO.
Kûna Aina Mbili za Uvutano (MVUTO)
1. MVUTO HASI
2. MVUTO CHANYA.
MVUTO HASI
NI Ile Ñguvu ya Uvutano àmbayo huvuta mambo mabaya, Mikosi, Laana na mabalaa.
MVUTO CHANYA
Ni Ñguvu ya Uvutano àmbayo huvuta mambo mazuri, Mema, bahati, Baraka na mafanikio
Kîla binadamu ana Ñguvu ya Uvutano íwe Hasi au chanya. MTU ndiye anaweza kuamua kuchaji au kuongeza Ñguvu Ipi Kati ya mvuto Hasi au chanya.
Je wewe ukijitazama unamvuto Hasi au mvuto chanya? Endelea kutafakari Mimi nami naendelea kueleza.
Umeenza safari yako ya Maisha. Umetoka kijijini umeenda Mjini au nchi za Mbali. Pindi utakapotua tuu mvuto wako ndîo utaamua Watu watakaohusiana na wéwe kuanzia Mtu wa Kwanza utakayezungumza naye Mpaka sehemu utakayoenda kuishi.
Mfano, umefika Dar. Unatafuta Nyumba ya kupanga. MVUTO wako ndîo utaamua Matokeo ya kîla utakachokutana nacho. Kama unamvuto chanya siô ajabu kukutana na dalali muadilifu Kwa kiwango cha kuridhisha hata kama siô Asilimia Mia Moja. Akakutafutia chumba au Nyumba àmbayo hiyo Nyumba pia MVUTO wako ukaamua mwenye Nyumba akawa Mtu mwema asiye na usumbufu. Lakini MVUTO CHANYA wako pia utaamua wapangaji wenzako wakawa Watu wema.
Na endapo utakuta wapangaji wasumbufu wewe hawatakuwa na madhara kwako na endapo wataonyesha madhara kwako haitachukua Muda mrefu litatokea tatizo wataondoka Hapo unapoishi katika mazîngira àmbayo wewe mwenyewe huyaelewi.
Mwili wako, Roho yako, Akili yako, Nafsi yako na Hisia zako zinamvuto chanya?
MVUTO CHANYA NI kama nuru àmbayo Giza haliwezi kuishinda. Wàpo watakaojaribu kukuangusha lakini watajipata wakiwa wameanguka mara Kumi ya pale walipokuwa awali.
Uliwahi kujiuliza chanzo cha mawazo yako NI kitû gàni? Tunajua Kazi ya ubongo Mbali na kutawala michakato ya kimwili, kutafsiri na kutambua lakini pia ubongo Kazi yake ñyiñgine ni kutafakari, kuwaza, kufikiri mambo yôte yanayotokea nje yako. Lakini kûna mawazo au Fikra ambazo hazitaki nje, Bali huibuka katika ubongo wako from nowhere.
Yaani unajikuta unafikiri kitu ambacho hujawahi kukiona Wala kukisikia Kutoka Kwa Watu Wengine àmbapo kitu hicho kikiwekwa Kwa Watu Wengine huitwa UBUNIFU. Je, unajua chanzo cha wazo?
MVUTO CHANYA huvuta mawazo chanya Kutoka ulimwengu wa rohoni na kuyaweka katika Nafsi ili yatafsiriwe na Ubongo Kisha Mwili uyafanyie Kazi katika ulimwengu wa nje.
Washauri wabaya huweza kukushauri Jambo ambalo nawe kama hutokuwa na MVUTO chanya ukajikuta unakubali wazo Hilo na ukalifanya ukajikuta umeharibu Maisha yako Kwa Wakati Husika.
Unapofanya biashara wateja wôte watakaokuja kwako wanatokana na mvuto wako kiroho. Kisha wakifika Ikiwa hawatapata mvuto wa kimwili au kihisia unaweza kuwapoteza. Ni lazima kiwe na uwiano Kati ya mvuto wa kimwili, kihisia, kiroho na Kiakili.
Ndîo maana Mtu lazima afundishwe ku- behave Kwa namna itakayovutia Wengine. Kulingana na kile anachokifanya.
1. Kuongea (customer care na communication skills) lazima Mtu awe nayo ili kuvutia wengine. Zungumza Kwa sauti yako nzuri inayosikika, yenye mvuto Kulingana na Umri wako, jinsia yako, Elimu yako, hadhi yako, cheo chako na Kazi yako.
Mvuto katika mawasiliano. Kama wewe siô mzuri katika idara hiyo NI akheri utafute Mtu mahiri na mwenye mvuto katika shughuli hiyo. Unapoanzisha biashara yoyote mvuto katika mazungumzo lazima uzingatiwe. MTU akija kwèñye hospital yako akutane na Madaktari na wauguzi na wafanyakazi weñye kujua namna ya kuongea na wateja(Wagonjwa)
2. Mwonekano, na haiba
Lazima uvutie kimwili. Usafi wa Mwili na mavazi ni muhimu Sana.
Mvuto wa Mwili na mavazi unabadilika badilika kutokana na Umri, muktadha(mazîngira na tukio ), jinsia, n.k.
Mfano, unajua unaenda Kuonana na Rais au Waziri au Mtu mwenye wadhifa Fulani NI lazima uuweke Mwili wako vizuri na mavazi yanayoendana na mtu unayeenda kukutana naye. Hii itakupa mvuto siô kwako tuu Bali kwàke pia. Siô unavaa ilimradi au kuweka Mwili wako shaghala baghala, hata Mtu utakayekutana naye ataona umemdharau au haujui Nafasi Yake au heshima aliyonayo hivyo hata wewe utakuwa haujiheshimu.
Umeitwa kwèñye Date na Mchumba wako, vaa Vizuri. Hakikisha mwonekano wako wa kingono unachomozwa Kwa sababu ndîo lengo kuu Hilo. Kama ni Binti vaa nguo zinazotukuza na kubust kile ambacho unajua umebarikiwa. Usiwe Mpumbavu usiyejua kufanya Vitu Kwa Wakati Sahihi
3. Usafi wa Mahali unapoishi
NI muhimu Sana. Tenà sana kuzingatia Usafi wa Mahali unapoishi ili Kulinda na kukuza na kumaintain mvuto wako kiroho.
Sehemu unayolala lazima íwe Safi.
Sehemu unayolala chàkula na Kula chàkula lazima íwe Safi.
Sehemu unayojihifadhi na kujisafisha yaani chooni na bafuni lazima kuwe Safi.
Epuka Mende, kunguni, nzi, chawa na wadudi wôte WA uchafu hao huvuta Roho chafu na kukuletea Mikosi Ndani ya Nyumba na wéwe binafsi.
Epuka tandabui na buibui kwèñye kuta za Nyumba yako.
Tandabui kiroho huvuta Roho na mapepo wachafu kwani hudhani hiyo Nyumba Haina mkaaji yàani NI pagale.
Epuka Nyumba yako au sehemu unayoishi kugeuzwa na viumbe Wengine Makazi hasa viumbe wanaokaa kwèñye mapagale au sehemu yenye Ukiwa. Viumbe kama Popo na mijusi huchafua Nyumba
Nyumba yako lazima íwe Safi ili ivute mvuto chanya Hapo nyumbani na kwako na familia yako. Ikiwezekana panda bustani Zenye Maua mazuri, viumbe kama Ndege Wazuri, vipepeo ndîo wawe wanafamilia kwako.
Hata sehemu unayofanyia biashara hakikisha kunakuwa Safi. Hakuna tandabui Wala Vitu vyovyote vitakavyogeuza Eneo Lako la biashara kuwa kama Makazi ya mapepo.
Mimi Acha nipumzike sasa
Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
Kwa Sasa Dar es salaam
Anaandika, Robert Heriel
Mtibeli
MVUTO, mvutano. Kani au nguvu ya Uvutano.
Maisha ni Ñguvu ya Uvutano, MVUTO.
Kûna Aina Mbili za Uvutano (MVUTO)
1. MVUTO HASI
2. MVUTO CHANYA.
MVUTO HASI
NI Ile Ñguvu ya Uvutano àmbayo huvuta mambo mabaya, Mikosi, Laana na mabalaa.
MVUTO CHANYA
Ni Ñguvu ya Uvutano àmbayo huvuta mambo mazuri, Mema, bahati, Baraka na mafanikio
Kîla binadamu ana Ñguvu ya Uvutano íwe Hasi au chanya. MTU ndiye anaweza kuamua kuchaji au kuongeza Ñguvu Ipi Kati ya mvuto Hasi au chanya.
Je wewe ukijitazama unamvuto Hasi au mvuto chanya? Endelea kutafakari Mimi nami naendelea kueleza.
Umeenza safari yako ya Maisha. Umetoka kijijini umeenda Mjini au nchi za Mbali. Pindi utakapotua tuu mvuto wako ndîo utaamua Watu watakaohusiana na wéwe kuanzia Mtu wa Kwanza utakayezungumza naye Mpaka sehemu utakayoenda kuishi.
Mfano, umefika Dar. Unatafuta Nyumba ya kupanga. MVUTO wako ndîo utaamua Matokeo ya kîla utakachokutana nacho. Kama unamvuto chanya siô ajabu kukutana na dalali muadilifu Kwa kiwango cha kuridhisha hata kama siô Asilimia Mia Moja. Akakutafutia chumba au Nyumba àmbayo hiyo Nyumba pia MVUTO wako ukaamua mwenye Nyumba akawa Mtu mwema asiye na usumbufu. Lakini MVUTO CHANYA wako pia utaamua wapangaji wenzako wakawa Watu wema.
Na endapo utakuta wapangaji wasumbufu wewe hawatakuwa na madhara kwako na endapo wataonyesha madhara kwako haitachukua Muda mrefu litatokea tatizo wataondoka Hapo unapoishi katika mazîngira àmbayo wewe mwenyewe huyaelewi.
Mwili wako, Roho yako, Akili yako, Nafsi yako na Hisia zako zinamvuto chanya?
MVUTO CHANYA NI kama nuru àmbayo Giza haliwezi kuishinda. Wàpo watakaojaribu kukuangusha lakini watajipata wakiwa wameanguka mara Kumi ya pale walipokuwa awali.
Uliwahi kujiuliza chanzo cha mawazo yako NI kitû gàni? Tunajua Kazi ya ubongo Mbali na kutawala michakato ya kimwili, kutafsiri na kutambua lakini pia ubongo Kazi yake ñyiñgine ni kutafakari, kuwaza, kufikiri mambo yôte yanayotokea nje yako. Lakini kûna mawazo au Fikra ambazo hazitaki nje, Bali huibuka katika ubongo wako from nowhere.
Yaani unajikuta unafikiri kitu ambacho hujawahi kukiona Wala kukisikia Kutoka Kwa Watu Wengine àmbapo kitu hicho kikiwekwa Kwa Watu Wengine huitwa UBUNIFU. Je, unajua chanzo cha wazo?
MVUTO CHANYA huvuta mawazo chanya Kutoka ulimwengu wa rohoni na kuyaweka katika Nafsi ili yatafsiriwe na Ubongo Kisha Mwili uyafanyie Kazi katika ulimwengu wa nje.
Washauri wabaya huweza kukushauri Jambo ambalo nawe kama hutokuwa na MVUTO chanya ukajikuta unakubali wazo Hilo na ukalifanya ukajikuta umeharibu Maisha yako Kwa Wakati Husika.
Unapofanya biashara wateja wôte watakaokuja kwako wanatokana na mvuto wako kiroho. Kisha wakifika Ikiwa hawatapata mvuto wa kimwili au kihisia unaweza kuwapoteza. Ni lazima kiwe na uwiano Kati ya mvuto wa kimwili, kihisia, kiroho na Kiakili.
Ndîo maana Mtu lazima afundishwe ku- behave Kwa namna itakayovutia Wengine. Kulingana na kile anachokifanya.
1. Kuongea (customer care na communication skills) lazima Mtu awe nayo ili kuvutia wengine. Zungumza Kwa sauti yako nzuri inayosikika, yenye mvuto Kulingana na Umri wako, jinsia yako, Elimu yako, hadhi yako, cheo chako na Kazi yako.
Mvuto katika mawasiliano. Kama wewe siô mzuri katika idara hiyo NI akheri utafute Mtu mahiri na mwenye mvuto katika shughuli hiyo. Unapoanzisha biashara yoyote mvuto katika mazungumzo lazima uzingatiwe. MTU akija kwèñye hospital yako akutane na Madaktari na wauguzi na wafanyakazi weñye kujua namna ya kuongea na wateja(Wagonjwa)
2. Mwonekano, na haiba
Lazima uvutie kimwili. Usafi wa Mwili na mavazi ni muhimu Sana.
Mvuto wa Mwili na mavazi unabadilika badilika kutokana na Umri, muktadha(mazîngira na tukio ), jinsia, n.k.
Mfano, unajua unaenda Kuonana na Rais au Waziri au Mtu mwenye wadhifa Fulani NI lazima uuweke Mwili wako vizuri na mavazi yanayoendana na mtu unayeenda kukutana naye. Hii itakupa mvuto siô kwako tuu Bali kwàke pia. Siô unavaa ilimradi au kuweka Mwili wako shaghala baghala, hata Mtu utakayekutana naye ataona umemdharau au haujui Nafasi Yake au heshima aliyonayo hivyo hata wewe utakuwa haujiheshimu.
Umeitwa kwèñye Date na Mchumba wako, vaa Vizuri. Hakikisha mwonekano wako wa kingono unachomozwa Kwa sababu ndîo lengo kuu Hilo. Kama ni Binti vaa nguo zinazotukuza na kubust kile ambacho unajua umebarikiwa. Usiwe Mpumbavu usiyejua kufanya Vitu Kwa Wakati Sahihi
3. Usafi wa Mahali unapoishi
NI muhimu Sana. Tenà sana kuzingatia Usafi wa Mahali unapoishi ili Kulinda na kukuza na kumaintain mvuto wako kiroho.
Sehemu unayolala lazima íwe Safi.
Sehemu unayolala chàkula na Kula chàkula lazima íwe Safi.
Sehemu unayojihifadhi na kujisafisha yaani chooni na bafuni lazima kuwe Safi.
Epuka Mende, kunguni, nzi, chawa na wadudi wôte WA uchafu hao huvuta Roho chafu na kukuletea Mikosi Ndani ya Nyumba na wéwe binafsi.
Epuka tandabui na buibui kwèñye kuta za Nyumba yako.
Tandabui kiroho huvuta Roho na mapepo wachafu kwani hudhani hiyo Nyumba Haina mkaaji yàani NI pagale.
Epuka Nyumba yako au sehemu unayoishi kugeuzwa na viumbe Wengine Makazi hasa viumbe wanaokaa kwèñye mapagale au sehemu yenye Ukiwa. Viumbe kama Popo na mijusi huchafua Nyumba
Nyumba yako lazima íwe Safi ili ivute mvuto chanya Hapo nyumbani na kwako na familia yako. Ikiwezekana panda bustani Zenye Maua mazuri, viumbe kama Ndege Wazuri, vipepeo ndîo wawe wanafamilia kwako.
Hata sehemu unayofanyia biashara hakikisha kunakuwa Safi. Hakuna tandabui Wala Vitu vyovyote vitakavyogeuza Eneo Lako la biashara kuwa kama Makazi ya mapepo.
Mimi Acha nipumzike sasa
Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
Kwa Sasa Dar es salaam