mtzmweusi
JF-Expert Member
- Apr 20, 2013
- 8,658
- 8,994
Mkuu vipi tayari?Watanzania tuchangamkie hii kitu
Binafsi hii lazima ni test zali nishachoka mambo ya ki-chura
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu vipi tayari?Watanzania tuchangamkie hii kitu
Binafsi hii lazima ni test zali nishachoka mambo ya ki-chura
Hivi ubalozi wa Australia hapa Dar uko wapi?
Mbonaukuvuta subira kulitoa hilii ndindiii tolly Tilly ndindiii...mpwannimeona yanguu ntakupmNitatoa maelekezo vzr badae vuta subira mkuu
Unatakaaa povu utaliaa muulize manaraBinafsi hii lazima ni test zali nishachoka mambo ya ki-chura
pamo1 mkuumkuu umeeleza poa sana kila mtu angekua kama wewe na mimi Dunia ingekua mahali poa sana pa kuishi
Btw Australia ni mahali poa sana kuishi na kufanya kazi watu wachangamkie fursa na Australia kila mtu anataka kwenda nafasi zinagombaniwa sana na interview zao ni interview kweli ila yoyote anayetaka kwenda namtia moyo INAWEZEKANA
sasa nimekupata kumbe ndio maana lile tangazo la werld remitNa Wazimbabwe mkuu, ni Kama kwao ni wengi wanafanya kwenye Ma hospital
maisha hayana mteremko na hapo mdipo wenzetu wa westAfrika wanatupiga gepu hakuna kusema masharti mengi wao wanakamata fursa wanaenda zaoMasharti mengi sna
huyo ndio last empor mshusha nondoCc: Sky Eclat , check fursa hizo
Huu ni uchokozihuyo ndio last empor mshusha nondo
Dar kapo ka ofisi kadogo masaki karibu na Sea Clif
Ila ubalozi wao upo Nairobi
[emoji81] [emoji81] [emoji81] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]Wale wasomi wetu wa hapa Kiswahili tu na wasio na lugha mmbadala inayotamba duniani wanajitoa wenyewe mapemaaaaaa wakalale.