Unataka kwenda Australia? Njia hii hapa ushindwe mwenyewe

Unataka kwenda Australia? Njia hii hapa ushindwe mwenyewe

Iko poua ! Vijana mliona elimu hizo fursa hiyo,interview ni hatua pia ukikosa safari hii ! Unajaribu wakati mwingine na inakujengea uwezo mzuri
 
Ukipata nafasi ni muhimu kuuliza kodi kwa sababu Australia ina kodi kubwa kwa experts karibu 45% ukikosea makubaliano ya mshahara imekula kwako.
Kuna jamaa yangu alikuwa amepewa mshahara wa us 9000 kwa mwezi ila take home ikawa us 4500 baada ya makato ilibidi akimbie
 
mkuu nashukuru sana kwa thread hii..
nimepitia post nyingi sana na nimekuelewa sana.
naomba kuuliza juu ya gharama za usafiri endapo mtu atashinda nafasi yake. nani atagharamika?
Nitatoa maelekezo vzr badae vuta subira mkuu
 
Ukipata nafasi ni muhimu kuuliza kodi kwa sababu Australia ina kodi kubwa kwa experts karibu 45% ukikosea makubaliano ya mshahara imekula kwako.
Kuna jamaa yangu alikuwa amepewa mshahara wa us 9000 kwa mwezi ila take home ikawa us 4500 baada ya makato ilibidi akimbie
mkuu naomba kujua nani atakuwa responsible kwa gharama za usafiri kutoka mfano TZ kwenda AUSTRALIA kama mtu akipata nafasi..
kuhusu hio kodi, kwani ni ya lazima au mnakaa tena kubagain?
 
dada Sara, twenzetu Aus 'tukachukue maisha'. Bongo miyeyusho! Teh

Twende kaka ila hakikisha document zote unazo maana wanafatilia kinoma. Hata ukikosea helufi moja ya jina lako kwao ni kosa kubwa. Mfano Kaveli kwenye cheti Cha kuzaliwa, alafu cheti Cha shule Kavely or Kaveri. Hapo ni rekebisha mapemaaaa ili ukianza process zao iwe nafuu.
 
Twende kaka ila hakikisha document zote unazo maana wanafatilia kinoma. Hata ukikosea helufi moja ya jina lako kwao ni kosa kubwa. Mfano Kaveli kwenye cheti Cha kuzaliwa, alafu cheti Cha shule Kavely or Kaveri. Hapo ni rekebisha mapemaaaa ili ukianza process zao iwe nafuu.


poa dada'ake, twen'zetu mbele bhana. Hapa bongo channels zote chenga, ramani hazisomi. Teh

Thanks for alerting me on the accuracy/consistency of documentation details.
 
Jerrymsigwa nina maswali kadhaa mie nimeingia kwenye hiyo page nikajaza baadhi ya details nikaambiwa ninameet requirements wanazohitaji niwasiliane na ubalozi wa karibu kwa msaada zaidi sasa nafanyaje?
 
Duh. Kwa wale wa procurement& logistic subirin mwaka ujao. Naona hapo hakuna za kwenu.
 
Jerrymsigwa nina maswali kadhaa mie nimeingia kwenye hiyo page nikajaza baadhi ya details nikaambiwa ninameet requirements wanazohitaji niwasiliane na ubalozi wa karibu kwa msaada zaidi sasa nafanyaje?

Nenda Nairobi kuna consular yao pale, they can sort out all your problems. Anza kwa kuwapigia simu kwanza then uone haja ya kwenda au hapana
 
Back
Top Bottom