1kush africa
JF-Expert Member
- Dec 13, 2016
- 9,552
- 13,090
Mkuu vp matizi kama kawaNgoja nitaingia chimbo kuprove muda.
Ila nina uhakika kua kuruka kamba kunatengeneza stamina ya miguu.
Nijue mazoezi ambayo yatapunguza tumbo tu.Nikifanya diet tumbo linapungua na mwili wote mpaka najichukia.Yaani sehemu ambayo inafanya mazoezi iwe ni tumboni tu?
Kutegemea na lengo wanaweza kufanya yote. Ila kama lengo siyo kama la bodybuilder anaweza kuendesha tairi, crunches za aina zote, sit ups na oblique sit ups ambazo zitapunguzwa reps na seti.Je mazoez ya dizain hii yanakuwa applied kwa boys tuu au hata kwa girls? [emoji848]
Sawa Mkuu nimeelewa, japo mi sina kitambi ila ntamshauri best angu afanye hayo mazoezi.Kutegemea na lengo wanaweza kufanya yote. Ila kama lengo siyo kama la bodybuilder anaweza kuendesha tairi, crunches za aina zote, sit ups na oblique sit ups ambazo zitapunguzwa reps na seti.
Hilo pia hutegemea lengo la mhusika.