Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ahsante
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hili zoezi lione hivihivi kwenye picha nililifanya tumbo likakaza hata kucheka siwezi the next day sitaki tena nibaki na kitambi changu tu
Mkuu hebu weka hapa hiyo diet plan yako tuione labda itatusaidia! Watu tuna matumbo huko mikono kama chelewa! Nahitahidi kupiga mbunye lakini tumbo haliishi!MAZOEZ YANAHITAJI MOYO WA CHUMA NA SALA...MIMI NILINENE MPAKA NIKITEMBEA KIFUA KINATIKISIKA NYAMA,,NIKAPIGA DIET PLAN YANGU MOJA KWA WIKI MBILI NIKAWA KAMA MODEL SASA NDO NATAKA NIINGIE GIM SEMA NATAKA MWALIM NIMWELEZE NAVOTAKA KUA MAANA MAFUTA YOTE NIMETOA
Heee kwa hiyo uliambiwa ukipiga mbunye ndio tumbo linaisha?Mkuu hebu weka hapa hiyo diet plan yako tuione labda itatusaidia! Watu tuna matumbo huko mikono kama chelewa! Nahitahidi kupiga mbunye lakini tumbo haliishi!
Teh teh teh teheeee! Si Khantwe unajua tena za vijiweni!! Eti ukijikunja namna hii tumbo lazima likate mafuta!! Teheheeeee!!Heee kwa hiyo uliambiwa ukipiga mbunye ndio tumbo linaisha?
Hivi inachukua muda gani kuona matokeo, kitambi kinanikera sana....
Yani natamani nikilala chini nipige sit ups nikiinuka tumbo liwe limepunguaMwezi inategemea haina ya mazoezi na mpangilio wa chakula chako
Yani natamani nikilala chini nipige sit ups nikiinuka tumbo liwe limepungua
Nimefanya kidogo, nashindwa hata kucheka maumivu yake
Dah kumbe!!!! Mi nikajua sit ups zangu 30 kila siku zinatosha 😁[emoji23]unazingua sit up tu hazitoshi lazima ufanye mazoezi kama kukimbia kuruka kamba nk