Platnum member
Member
- Jul 27, 2021
- 31
- 29
Nenda kakope benk mkuu mbona utakuwa flat fasta tu..Daah mimi sihitaji six packs. Za nini? Nataka tumbo flat tu basi
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wapenda kula utawajua tuu[emoji12]Nitakupm namba mkuu,ile isiwe ile wanaita mauaji unashindia maji tupu jioni ndo unakunywa glass moja ya maziwa kesho yake maji tupu mpk asubuhi nyingine hapana!!!
Athari za umasikini ziko wazi sana kwenye jamii yetukwa mfano mkienda sehemu ya huduma watu wawili mwenye kitambi na mwingine flat lazima ataanza kuhudumiwa mwenye kitambi na aliye flat atafuata baadae.
Utakuta wahudumu wanakuita kwa unyenyekevu"Karibu Boss,tunaomba tukuhudumie" sasa hii favour ndio inayonifanya niache kujichosha au kujishindisha na njaa kwa ajili ya kukiondoa kitambi.
Ndio rafiki Napenda sana!Kumbe rafiki na wewe ni mpenzi wa mazoezi?
Lipia TANGAZONilinunua elfu 10, ukiwa Feri unataka kuvuka kwenda kigamboni utakuta kuna jamaa ameweka vitu vya mazoezi na hivyo vitairi anavyo.
Kula ni kawaida ila isiwe junk food (Burger, Pizza n.k)
Ungeendelea ndo mishipa inatanuka!Daah kuna zoezi niliangalia youtube linafanana kidogo na hilo la pili ila lenyewe unanyanyua magoti unaleta tumboni. Siku ya kwanza nimefanya siku ya pili sasa maumivu chini ya kitovu utasema kizazi kinachomoka. Bado najifikiria niendelee au niache. Ngoja nisubscribe hapa kwanza