Hivi kumbe kutakua na makutano? Tutakuja tumevaa mask [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Yaani nitamani kukutana vibibi robot?
Hapana bwashee, kwa taarifa yako jf hakunaga wanawake kama huamini njoo Ijumaa kwenye hafla ya kuzawadia washindi wa story of Change utakutana na wajuba tupo dadeki [emoji23]
Si hivi hivi jamani[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Unaninyimaje eti kwa mfano
[emoji8][emoji8][emoji8][emoji8]
Acha uoga we kibabuMaisha yenyewe tunaigiza tukutane ili iweje? Mpate thread mpya?!!
Yaani tunatosha kabisaNimesisitiza. Kwanza watoto wengi sasa hivi. Bora wazee wenzangu tuliokutanaga nao
Tujuane tu ikiwezekana tukopane pesa au tudanganyane kidogoLengo la kukutana ni lipi?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Auntie ebu ukoAmekuja kufanya ulinzi shirikishi, katoto kambea haka!
Hilo jibu unajua unamjibu nani lakini?Na mdomo.
@Heaven Sent
Demiss yupogo bado kwani? Mimi unataka kuniona mkuu nitimize haja yako [emoji4][emoji4]Demiss na Mzigua Baby
Hahahha hapo kwenye kukopana pesa dada tukimbiane kidogo halafu tulipaneTujuane tu ikiwezekana tukopane pesa au tudanganyane kidogo
Wewe sasa
Pia napenda kumuona Mama SabrinaDemiss yupogo bado kwani? Mimi unataka kuniona mkuu nitimize haja yako [emoji4][emoji4]
Miss you sana my dada…niwakubali sana ndugu zangu CharmingLady , Lady doctor Passion Lady na mdogo wetu sijui nani yule mnisaidie kumtaja
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]. Kwani TZ11 si ni gari?Yaan humu nna nyumba tatu na magari manne tukutane huoni hata kimoja [emoji23][emoji23][emoji23]
Nipo mkuu, afu umebadili username, hebu nitext username yako ya zamaniHuu uzi umetoa nyoka pangoni, hivi upo?
Uko sahihi mkuu Sema wapo wenzio wanahangaika na sisi huwez amini.Nasikia madem wa humu ni wabovu hakuna mtu mwenye time nao kama mm....
Sawa shemejiInapendeza sana...
Nilipenda kukutana nae, nimekutana nae na naendelea kutana nae...
Anajijua mwenyewe...
Mimi japo sijakuona mzigua, nina uhakika wa 100% una shape yenye mvuto, sina uhakika sura ipoje.Uko sahihi mkuu Sema wapo wenzio wanahangaika na sisi huwez amini.