Unatamani kukutana na mwanamke gani wa JF?

She is beautful with brain, nineona ile picha ya kwenye ule uzi wa mshindi wa shindano la uandishi, kiukweli she is sooo beautful, anafanana na avatar yake, very smart with ambitions, ameni inspire sana
Dah! Sijamuona mkuu nifanyie wepesi tafadhali.
 
wengi wa kitambo wamebadili njia hewani ngoja nami niliondoe hili nilete lenye tijaπŸ˜πŸ˜…πŸ˜πŸ€£
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…