Unatamani kukutana na mwanamke gani wa JF?

Unatamani kukutana na mwanamke gani wa JF?

Ninayetaka kumukna nilishamfikia kwenye PM yake na tunaendelea vizuri. Kiliwahi kuwa na program za get together kwenye wings. Sijui ziliishia wapi.
 
Ninayetaka kumukna nilishamfikia kwenye PM yake na tunaendelea vizuri. Kiliwahi kuwa na program za get together kwenye wings. Sijui ziliishia wapi.
Sawa mkuu😂😂😂😂😂😂good job
 
Hivi unakumbuka kama nna mahusiano na wewe? Au ushanisahau?
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28] Eve umenifanya nicheke sana, hii ndio sababu nimekutaja kama moja ya watu ninaotamani kuwaona

Sasa mpenzi tupange mambo mazuri basi
 
Abrianna atafutiwe tuzo. Anaonekana kuwagusa wengi katika mtazamo chanya.
She is beautful with brain, nineona ile picha ya kwenye ule uzi wa mshindi wa shindano la uandishi, kiukweli she is sooo beautful, anafanana na avatar yake, very smart with ambitions, ameni inspire sana
 
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28] Eve umenifanya nicheke sana, hii ndio sababu nimekutaja kama moja ya watu ninaotamani kuwaona

Sasa mpenzi tupange mambo mazuri basi
Nimeona nikukumbushe usikute nadate mwenyewe tu....😁
 
Back
Top Bottom