Unatamani kukutana na mwanamke gani wa JF?

Unatamani kukutana na mwanamke gani wa JF?

Kwanza soma post yake vizuri, anataka mkutane sehemu iliyotulia mkiwa wawili tu, wewe unadhanj ana malengo gani huyu, halafu kwanza msituzuge, jinsia tofauti wanaotamani kuonana wana mpango wa kupigana miti tu, hata kama mtazuga eti mnafundishana kufuga kuku..
Mambo mengine inabidi ucheke tu japo magumu. Sawa mkuu hongera kwa kuwa na uwezo wa kuona yaliyo ndani ya vichwa vya watu.
 
Hahaaa kwahiyo umeona unitangaze kwa watu kuwa na mimi ni mnywaji? Ujue kuna watu wananiona decent sana humu ndani wasije wakapata mshituko ukanichafulia jina! [emoji3][emoji3] [emoji16][emoji16]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Unaanza kuzichemsha saa tisa ucku mpaka saa saba itakua tyr
Kwa hatua hii kubwa na njema mliyofikia ya mawasiliano napendekeza yahamie PM itapendeza sana.
Nakala: anayejibiwa kwa utekelezaji wa haraka.
Reason behind, you usualy use logic in expressing your points rather than emotions. Thats makes you different from the rest.
There is a greater human geing in her.
 
Unaanza kuzichemsha saa tisa ucku mpaka saa saba itakua tyr
Kwa hatua hii kubwa na njema mliyofikia ya mawasiliano napendekeza yahamie PM itapendeza sana.
Nakala: anayejibiwa kwa utekelezaji wa haraka.
Wow, thank you for this compliment, i am flattered🙏
Flattered imenipeleka kwenye dictionary.
 
Binafsi namuadmire Abrianna kwa mengi, anaonekana ni mtu ambae akili imetulia sana tofauti na members wengi

Mwingine ninaetamani kumuona ni Evelyn Salt kwa sababu anaonekana akili yake inaenda resi sana, in fact haboi yaani unaweza kucheka mwanzo mwisho
Abrianna atafutiwe tuzo. Anaonekana kuwagusa wengi katika mtazamo chanya.
 
Kwa hatua hii kubwa na njema mliyofikia ya mawasiliano napendekeza yahamie PM itapendeza sana.
Nakala: anayejibiwa kwa utekelezaji wa haraka.

Flattered imenipeleka kwenye dictionary.
Yamekua hayo,? [emoji849][emoji849][emoji1787]
 
Back
Top Bottom