Mzigua90
JF-Expert Member
- Sep 23, 2014
- 38,342
- 88,625
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]. Unanisingizia. Umesahau nilivyokuaga msweet?
Sent from my SM-A715F using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]. Unanisingizia. Umesahau nilivyokuaga msweet?
Sweetheart indeed kwa upande flani..[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]. Unanisingizia. Umesahau nilivyokuaga msweet?
Sent from my SM-A715F using JamiiForums mobile app
Kujifunza mengi au unataka tu umkaze..Saint Anne huyu dada nahisi ana madini sana ukikaa nae wawili sehem iliyotulia. Unaweza kujifunza mengi ukiwa nae.
Natamani kukutana na wewe, natamani kuja Mbeya.
AiseeKujifunza mengi au unataka tu umkaze..
Sawa mkuu tukutane VIP B kijiweni paleDerby ijayo panapo majaliwa Insha Allah inabidi nikusake chief. 😀
kikubwa ni kukutana na mtu sahihiWatu wengi wanaogopa kufichua utambulisho wao
hahahahahahFAIZA FOXX
wanyaki wapo vizuri ongera zakeSaint Anne huyu dada nahisi ana madini sana ukikaa nae wawili sehem iliyotulia. Unaweza kujifunza mengi ukiwa nae.
Natamani kukutana na wewe, natamani kuja Mbeya.
OMG[emoji847]I'm humbled [emoji120][emoji120]Saint Anne huyu dada nahisi ana madini sana ukikaa nae wawili sehem iliyotulia. Unaweza kujifunza mengi ukiwa nae.
Natamani kukutana na wewe, natamani kuja Mbeya.
Huwa unamtamani kumpiga paipu halafu unasingizia kujifunza mengi, acha hizo bush bwana laden..Aisee
Duh!mkuu mbona una mawazo hasi hivyo?Huwa unamtamani kumpiga paipu halafu unasingizia kujifunza mengi, acha hizo bush bwana laden..
Anne, nisikilize mimi, achana na huyo Osama bin Laden, hana lolote zaidi zaidi tu amekutamani ili kukupiga mashine.I'm humbled [emoji120][emoji120]
You're my admirer.
Tuombe uzima na kibali,tutaonana TU!
Utamuona na kuongea na Anne.
Upo mkoa gani??
Karibu sana Mbeya
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwani wenye familia hawapigi ze mambo, tena hao ndio wenyewe.Duh!mkuu mbona una mawazo hasi hivyo?
Huyo mtu ana familia yake na mimi hivyohivyo.
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji38]Abee mkuuAnne, nisikilize mimi, achana na huyo Osama bin Laden, hana lolote zaidi zaidi tu amekutamani ili kukupiga mashine.
Nadhani hilo si lengo la kutamani kukutana.Kwani wenye familia hawapigi ze mambo, tena hao ndio wenyewe.
Sasa kwani kumtamani mtu ni nia mbaya, tamaa tumeumbiwa jamani, halafu inaonekana BUSH BIN LADEN amekwazika maana ameishia kujibu "Aisee", Yaani anaona kama nataka kumharibia kwa Anne wake anaempenda.[emoji38]Abee mkuu
Hakuna kitu kama hicho boss.
Mimi pia kuna watu nawish kuonana nao,,si kwa nia mbaya au kufanya mambo mabaya..
Natamani tu nionane nao tuongee basi .
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwanza soma post yake vizuri, anataka mkutane sehemu iliyotulia mkiwa wawili tu, wewe unadhanj ana malengo gani huyu, halafu kwanza msituzuge, jinsia tofauti wanaotamani kuonana wana mpango wa kupigana miti tu, hata kama mtazuga eti mnafundishana kufuga kuku..