Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hawataamini juzi kati nilifungua siku nzima nikawa namwambia mbalizi njo pm hataki haamini yaani kama ipo waziSiku ukisema umefungua PM lazima watu watiririke kama siafu
Thanks for a compliment [emoji120][emoji120]Shunie jaman you are so marvelous daah
njoo uchukue amu [emoji3][emoji3]Please tag humble african na mr miller,natamani nipate nywila zao halafu wale madem zao niwape vibuti
mashtaka yapi wee Demiss!!Hahahahahah Humble African na Mr Miller njoeni huku mjibu mashtaka
Demiss mimi natamani nimiliki PM yako kabisa hata kuanzia leo hiiWeekend ndo imeanza hivyo.
Mishee mishe mtaani zimenoga balaaa wale wapenda bata kama mm tunatafuta viwanja tukajirushe.
Bila kusahau Jf nako kumechangamka kwa Threads mbali mbali huko PM ndo usiseme kabisa.
Mimi nataman kumiliki PM ya HUMBLE Africani na BAK pamoja na kritika.
Nataka nikaone viroja kwenye PM zao.
sina tabia ya kuzingua mtu mimi huwa napitaga kimya kimya dm za watuNitaaamini vipi bhn wewe unajua kila kitu mpaka Demiss sema yawezekana ulinizingua na id yako ya kwanza
babe naomba PM yako![emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]unacheka nn eti shem?![emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hahaha halafu anajua uongo niliifunga usiku sijui saa 4Hahahah aiseeeeeh kachezea bahati huyo