Blank page
JF-Expert Member
- May 28, 2015
- 5,487
- 4,817
haaaaa,usinambie mkuu.dah kam n mwanafunz uyo ndo mzur anaeza nifaa nimpigishe maths....Utafungwa we jamaa... Honey Faith ni mwanafunzi wa Baobab Secondary School.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
haaaaa,usinambie mkuu.dah kam n mwanafunz uyo ndo mzur anaeza nifaa nimpigishe maths....Utafungwa we jamaa... Honey Faith ni mwanafunzi wa Baobab Secondary School.
eti mama kweli we ni mwanafunz? ujue kitambo kidgo umepotea..and am admiring you....Waooooh
Mmoja wapo Nyani Ngabu eetehe tehe tehe tehe naogopa kuwataja,wana maneno hao, naweza nisile mwezi mzima
Mie sio mwanafunzi kabisaaa hicho kizee kinanichulia tueti mama kweli we ni mwanafunz? ujue kitambo kidgo umepotea..and am admiring you....
We danganya tu... maliza masomo kwanza. Mapenzi na shule wapi na wapi??Mie sio mwanafunzi kabisaaa hicho kizee kinanichulia tu
Kuwa makini, miaka 30 jela si haba...haaaaa,usinambie mkuu.dah kam n mwanafunz uyo ndo mzur anaeza nifaa nimpigishe maths....
teh teh...sawa mzee nikifanikiwa kwenda jela ntakutaarifu kw simu.Kuwa makini, miaka 30 jela si haba...
muache mwenyew nimemsoma,tuongee yetu.Mie sio mwanafunzi kabisaaa hicho kizee kinanichulia tu
Sina milioni saba za kukudhamini...teh teh...sawa mzee nikifanikiwa kwenda jela ntakutaarifu kw simu.
hahahaha.....amn mi ntakupa tu taarifa.mill 7 meanza kuzitafta toka mwaka jana zmefika nowSina milioni saba za kukudhamini...
Halafu we babuSina milioni saba za kukudhamini...
Labeka... sijakutongoza siku nyingi sana.Halafu we babu
Usinizibie riziki taaafadhali kabisaWe danganya tu... maliza masomo kwanza. Mapenzi na shule wapi na wapi??
Mmh utadundwa weweLabeka... sijakutongoza siku nyingi sana.
Tehe tehe tehe tehe usiusemee moyoMmoja wapo Nyani Ngabu ee
Ha haa kama nili Nyani Ngabu wala usiliogope. Mikwara yake inaishia tu humuTehe tehe tehe tehe usiusemee moyo
Mi sijamtaja jameni tehe tehe tehe teheHa haa kama nili Nyani Ngabu wala usiliogope. Mikwara yake inaishia tu humu
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji8] [emoji8] [emoji8]Ha haa kama nili Nyani Ngabu wala usiliogope. Mikwara yake inaishia tu humu