Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahahaa..... leo tuu nipo hapa.... kesi yake mmmmmhHakuna, lazima pana mamna.
Hii unayo isema isha tukutanisha mara mbiliLakini I wish kama kungefanyika mjumuiko wa wana jf wote na kupata msosi pamoja, lakini hilo ni ndoto maake tuko wengi sana
Ilikuwa wapi huko mkuuHii unayo isema isha tukutanisha mara mbili
Keshasema siku mizuka yake ikimpanda huku mtamwona live .Eng. Faiza Fox
[emoji8]Ukhti Faiza Fox
Asprin ni kijana tu yuko chuo mwaka wa pili sema anajifanya ni mbabaDingi mmoja anaejiita Asprin.
Nani hao? Sema niwaletekuna wakaka kama wawili hivi kama sio watatu natamani ningeona hata picha zao ili niweze kulinganisha na madudu wanayoandikaga humu, kama vinaendana
Akina nani hao embu watajekuna wakaka kama wawili hivi kama sio watatu natamani ningeona hata picha zao ili niweze kulinganisha na madudu wanayoandikaga humu, kama vinaendana
tehe tehe tehe tehe naogopa kuwataja,wana maneno hao, naweza nisile mwezi mzimaNani hao? Sema niwalete
nahofia usalama wangu tehe tehe tehe teheAkina nani hao embu wataje
Wataje nitakulinda[emoji123]tehe tehe tehe tehe naogopa kuwataja,wana maneno hao, naweza nisile mwezi mzima