[emoji8] [emoji8] [emoji8][emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji8] [emoji8] [emoji8]
Niko matejoo sikuhizi... Huko nimewaachia machorii choriiDah.... Valentina.....mrembo wa maghorofani[emoji13] [emoji13] [emoji13]
haaaaa,usinambie mkuu.dah kam n mwanafunz uyo ndo mzur anaeza nifaa nimpigishe maths....
kuonana Naona uzi unaleta mrejesho taratibu....watu wanaongea kama wanaonana vile!eti mama kweli we ni mwanafunz? ujue kitambo kidgo umepotea..and am admiring you....
hahaha...kauzi kako kana faida kidgo kanafanya wonderz watu wafahmiane kwel asee..kuonana Naona uzi unaleta mrejesho taratibu....watu wanaongea kama wanaonana vile!
Tehe tehe tehe tehekuonana Naona uzi unaleta mrejesho taratibu....watu wanaongea kama wanaonana vile!
[emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji115] [emoji115] [emoji115]tehe tehe tehe tehe naogopa kuwataja,wana maneno hao, naweza nisile mwezi mzima
Yule anayekumendeaga ni mmojawapoNani hao? Sema niwalete
[emoji102] [emoji102] [emoji14]Wataje nitakulinda[emoji123]
Hata mimi aisee ila namshukuru Mungu nimeshakutana na wasiopungua 140Natamani niwaone wote!
[emoji14] [emoji14] [emoji14] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji3] [emoji3]Nikome maana unanipeperushia ndege wangu
Babuu, punguza kupenda totoz.Marahaba mwanangu, hujambo??
Yaani I'm in love with inviziboMods & invisible
Hahahaha haya nakuachia. Ukishindwa nirudishie...Babuu, punguza kupenda totoz.
Achana na huyo mchuchu... hana lolote mzushi tuKumbee! Wewe kijana Asprin kwa nini umenidanganya?