Unatamani nini. . . ?

Unatamani nini. . . ?

Mama muuza Kongosho kaenda kwa Boss kwahiyo weekend yote hii imekula kwetu aisee...yule mama muuza wa Klorokwin nasikia Kloro kamuweka ndani siku si nyingi atatangaza ndoa
Heheheeh. . . tafuta mpya.

@Kongosho. . . mitego gani na wewe kama sio uzushi?
Haya hicho cha Arusha unajua pa kukipata?Tafuta mbegu uoteshe siku nyingine unachuma tu kama mboga.
 
Heheheeh. . . tafuta mpya.

@Kongosho. . . mitego gani na wewe kama sio uzushi?
Haya hicho cha Arusha unajua pa kukipata?Tafuta mbegu uoteshe siku nyingine unachuma tu kama mboga.
Ngoja nimwambie AfroDenzi afufue lile genge letu ili tuwe tunakunywa kwake
 
Kuna mtu anacho hicho cha Arusha ila mbishi sana, nimepanga kukiiba

Heheheeh. . . tafuta mpya.

@Kongosho. . . mitego gani na wewe kama sio uzushi?
Haya hicho cha Arusha unajua pa kukipata?Tafuta mbegu uoteshe siku nyingine unachuma tu kama mboga.
 
lol hata sijui...The Boss ulivyong'ang'ana na vitumbua???leo mpaka uondoke na kimoja ndio ulale lol

we kama unaweza usione haya kusema
kuandaa kitumbua sio kila mtu anaweza lol
 
Ngoja nimwambie AfroDenzi afufue lile genge letu ili tuwe tunakunywa kwake

Heheheh. . . utakufa.

@Excellent. . . kama umemaanisha sukari siulambe tu?

@Polisi. . . waombee mwaliko.Au wape wazo waombe.
 
Kuna mtu anacho hicho cha Arusha ila mbishi sana, nimepanga kukiiba

Ngoja uchomwe na bisibisi.

@Mbambaguy. . . fanya kazi zitakuja tu.Zaidi ya hapo utaishi kuhesabu/fikiria za wenzako.
 
Hiyo sukari ya Excellent hiyo??
Ya mtibwa hii hii tunayoijua sie?

Heheheh. . . utakufa.

@Excellent. . . kama umemaanisha sukari siulambe tu?

@Polisi. . . waombee mwaliko.Au wape wazo waombe.
 
Heheheh. . . utakufa.

@Excellent. . . kama umemaanisha sukari siulambe tu?

@Polisi. . . waombee mwaliko.Au wape wazo waombe.
bado ipo dukani na wamefunga
 
mimi nimepata hamu mpya mazeeeeee nimepata hamu ya kuangalia kitengo jamani aaah aaaha aaaah
 
Nimeguna tu baada ya kupaliwa
afterall naenda lala wee lamba tu sukari guru yako
nasikia we unayo naomba ungeweza unipe
kama una akiba ya hiyo sukari kabla hujalala
 
Back
Top Bottom