Heheheeh. . . tafuta mpya.Mama muuza Kongosho kaenda kwa Boss kwahiyo weekend yote hii imekula kwetu aisee...yule mama muuza wa Klorokwin nasikia Kloro kamuweka ndani siku si nyingi atatangaza ndoa
Niliuliza siku moja nikaambiwa iko kwenye form kama vile ya Konyagi sasa sijui ni kweli
Ngoja nimwambie AfroDenzi afufue lile genge letu ili tuwe tunakunywa kwakeHeheheeh. . . tafuta mpya.
@Kongosho. . . mitego gani na wewe kama sio uzushi?
Haya hicho cha Arusha unajua pa kukipata?Tafuta mbegu uoteshe siku nyingine unachuma tu kama mboga.
sukariIla hujakijua. . . . ?
Boss sikuwa karibu na Lab...ndio maana leo nikasema nina hamu nayo niijaribu...:lol:uliuliza?
sio kwamba uli test?mbona kuuliza haingii akilini? lol
Heheheeh. . . tafuta mpya.
@Kongosho. . . mitego gani na wewe kama sio uzushi?
Haya hicho cha Arusha unajua pa kukipata?Tafuta mbegu uoteshe siku nyingine unachuma tu kama mboga.
lol hata sijui...The Boss ulivyong'ang'ana na vitumbua???leo mpaka uondoke na kimoja ndio ulale lol
Heheheh. . . utakufa.
@Excellent. . . kama umemaanisha sukari siulambe tu?
@Polisi. . . waombee mwaliko.Au wape wazo waombe.
bado ipo dukani na wamefungaHeheheh. . . utakufa.
@Excellent. . . kama umemaanisha sukari siulambe tu?
@Polisi. . . waombee mwaliko.Au wape wazo waombe.
Kongosho we ulidhani ni ipiHiyo sukari ya Excellent hiyo??
Ya mtibwa hii hii tunayoijua sie?
Kongosho we ulidhani ni ipi
nasikia we unayo naomba ungeweza unipeNimeguna tu baada ya kupaliwa
afterall naenda lala wee lamba tu sukari guru yako
kama una akiba usinibanieKitengo?
@Excellent, . . . pole mwaya.