nasikia we unayo naomba ungeweza unipe
kama una akiba ya hiyo sukari kabla hujalala
nakuja mi mwenyewe kuchukua,wait 1 minHahahahah. . . sasa nikupe vipi?Tuma mtu aje kuchukua.
Hahahahah. . . sasa nikupe vipi?Tuma mtu aje kuchukua.
mi nataka kidogo tuGongo langu linakunywa sukari si mchezo, kwa hiyo nikigawa hata punje itakula pande yangu
Hali ya hewa ilikuaje RR? Rainy?Sunny?Hot?Cool?
Au ndo mambo ya kumkumbuka shemeji?
It was night time, saa kama hizi (usiku sana) ans it was drizzling... and yes nilikua tent na shemeji yenu, tuna furahia eachother's presence.unatamani hali ya hewa, tent au nini sasa na wewe Roulette
Tena nilikua nimesahau jina lako ulipangwa na Faiza Zoxy, la "Mzee wa Vitumbua"...mimi natamani nipate kitumbua kisaafi kilichokolea mafuta
kiwe kimenona nona hivi...lol
mimi natamani nipate kitumbua kisaafi kilichokolea mafuta
kiwe kimenona nona hivi...lol
Unatamani nini sasa hivi?
Mi natamani nyama ya kuchoma au kuokwa,iwe ya motooooo. Bahati mbaya sehemu ambayo naweza kupata ishafungwa saa hizi. Sijui kwanini hii hamu haikunijia mapema. . . . arrrrrg.
Siku kama zile, tumetoka mbali πNawa uso na maji baridi umalizie mchezo. . .
Siatamani kitu sweetheart nataka nikuoe...
I'm here for only you babe anyday anytime!Siatamani kitu sweetheart nataka nikuoe...
mjeshi is typing and deletengI'm here for only you babe anyday anytime!