Unatarajia wanasiasa watakuja na mbinu gani kuwalaghai watumishi Mei Mosi,2024?

Unatarajia wanasiasa watakuja na mbinu gani kuwalaghai watumishi Mei Mosi,2024?

Resilience

JF-Expert Member
Joined
Jan 4, 2023
Posts
1,096
Reaction score
4,948
Tumekaribia siku ya wafanyakazi Duniani. Kitaifa siku hii kwa Tanzania na nchi baadhi za Afrika utumika kuwalaghai watumishi wa umma kwa kuwapa Maneno matamu na ya faraja

Tupo kwenye tatizo lililoanzishwa na CCM kupitia bunge linaloitwa kikoakotoo...naamini hapa patakuwa na siasa siku ya mei mosi.

Kupandisha mishahara kwa uchumi wa sasa hapa, hatuna fedha za kulipa ongezeko la mishahara. Labda kupandisha madaraja au kupandisha vyeo

Cha zaidi kuepusha mambo yasiwe mengi tutegemee wale walio mtaani kuahidiwa kuajiriwa.....tutasikia zaidi watoto wetu wakipewa ahadi ya ajira na kwa kuwa sisi wazazi tunaamini ajira ni hisani tutashangilia.

Tuwe macho na kufungua miyoyo kwa lolote la ulaghai tutakaloambiwa...tumezoea.
 
Tumekaribia siku ya wafanyakazi Duniani. Kitaifa siku hii kwa Tanzania na nchi baadhi za Afrika utumika kuwalaghai watumishi wa umma kwa kuwapa Maneno matamu na ya faraja

Tupo kwenye tatizo lililoanzishwa na CCM kupitia bunge linaloitwa kikoakotoo...naamini hapa patakuwa na siasa siku ya mei mosi.

Kupandisha mishahara kwa uchumi wa sasa hapa, hatuna fedha za kulipa ongezeko la mishahara. Labda kupandisha madaraja au kupandisha vyeo

Cha zaidi kuepusha mambo yasiwe mengi tutegemee wale walio mtaani kuahidiwa kuajiriwa.....tutasikia zaidi watoto wetu wakipewa ahadi ya ajira na kwa kuwa sisi wazazi tunaamini ajira ni hisani tutashangilia.

Tuwe macho na kufungua miyoyo kwa lolote la ulaghai tutakaloambiwa...tumezoea.
TATIZO VIONGOZI WA TUCTA NI MAKADA WA CCM NA WAPO PALE KUKANDAMIZA WTUMISHI NA SIO KUWATETEA
 
Hakuna kitu kigumu kama kutawala,ndio mana watawala wametunga sheria kali na zinazowalinda waendelee kutawala.
Kutawala watu Werevu na wenye akili nzuri ndio Kitu kigumu, lakini kutawala watu 'mbumbumbu', mazumbukuku na wajinga wajinga ni kazi rahisi sana.
 
Mwaka huu 'hakuna' nyongeza ya mshahara. Ila mtaongezwa wote 2% flat rate kama 'token' ya ku appreciate utumishi wenu kwa umma!
 
Kuna Mwanasiasa mmoja huko anadai Wachina wamechukua ajira za Watanzania. Ameacha kuwataja watu ambao ndio wanao wakosesha ajira Watanzania.

Huo ni ulaghai na ni uchonganishi-mbinu za mababeru wa ulaya na marekani.

Zaidi ya hapo watasema wanataka Katiba na tume huru ya uchaguzi kana kwamba kuna ajira mumo
 
Wata wadanganya walimu kwamba vyeo vya mserereko vinakaribiaaaaa@@!!!!!
 
Back
Top Bottom