Zainab Tamim
JF-Expert Member
- Jan 15, 2015
- 1,293
- 583
Acha kuongopea. Hizo picha mbili ni za watu wawili tofauti kabisa wajuu ana asili ya kiarabu na ni mzee flani ivi wachini bado young.. Hata kipofu hashindwi kugundua hilo.. Tupe evidence nyingine utuconvice.. 😉
Hiyo dawa inapatiakana maduka yepi?
Nitaipataje sasa iyo dawa na mm nipo morogoro
Huyo ni mtu mmoja sina sababu ya kukuongopea hata kidogo na ni mwanangu mwenyewe.
Ni mtu mmoja picha zilipigwa sehemu tofauti na wakati tofauti ndiyo maana unaona different ya rangi.
Mie unanionaje kwenye avatar nina asili ipi?
Hayo ndio maajabu yenyewe, utafikiri watu wawili tofauti lakini ni mmoja tu, umemuona mzee kwa kuwa ana kipara na sasa kaota nywele anaonekana kijana zaidi. Na hiyo ndugu yangu ni baada ya wiki nne tu ya kutumia Aunt Zainab's Natural Super Clay.
Ukipenda karibu nyumbani umuone mwenyewe. hakuna cha kuficha hapa.
Dar es Salaam
Dar Home Delivery: Mzee Abdul = 0756803528
Ilala / Kariakoo = Raymond Mushi - 0713422069 na Joyce Mchagga - 0719024967.Pemba Street House No 12 Karibu na Msimbazi Police.
Ilala kwa Masai Kimako = Mwanahamisi Saloon 0718775220
Kijitonyama - Vivian Mshomi - Stendi ya Makumbusho - 0757176678 / 078476678 / 071576678 / 0776154933
Kimara - Mbezi - Ubungo = Jack- 0714893685
Jack yupo Kimara Rombo lakini amejitolea kufanya delivery mpaka Mbezi Mwisho na Ubungo.
Sinza = Aunt Zainab - 0769302206
Zanzibar (Unguja)
Dr. S. Shafi 0754650480
Arusha
Mama Aida -0754445733
Dodoma
Rukia - 0653249898
Lindi
Nuru - 0717461575
Mbeya
Haule - 0756994850 na 0784658349
Mwanza
Mama Alex / Bonge 0768545736 na 0765072213
Morogoro
Lina Mafwere - 0754297319 Boma Road.
Tanga
Farouq - 0719190000
Arusha vp napataje na vp inatibu makovu Ya acne
Kama ni kweli sawa, ila nadhani watu wenye vipara tunaongoza kwa kutapeliwa
Nipo tayari kukupa utumie bure bila kulipia senti tano, mpaka utakapohakikisha kuwa kuna mabadiliko baa ya kutumiaAunt Zainab's Natural Super Clay ndio utalipa.
Kama haijakusaidia na haujaona mabadiliko, usilipie.
Hii ni bidhaa pekee ambayo nipo tayari kukupa utumie bure kwa tatizo lako lolote la ngozi, ualipia baada ya matokeo tu.
Utaweka deposit na kama hujafanikiwa ninaku refund pesa yako kamili na ya nauli juu.
Na wale wasio na uwezo wa kumudu kuinunua ni bure na waje kwangu Sinza kuchukuwa wakati wowote wala wasisite hata kidogo.
Kama ni kweli sawa, ila nadhani watu wenye vipara tunaongoza kwa kutapeliwa