Unatokwa na nywele? Una kipara? Jionee maajabu ya Aunt Zaynab's Natural Super Clay

Unatokwa na nywele? Una kipara? Jionee maajabu ya Aunt Zaynab's Natural Super Clay

Sawa mama ntakuja.. Kazi njema!

Karibu sana.

Nimejaribu kukutumia picha zake kamili kwa pm zinazoonesha sura yake kabla na baada lakini nimeshindwa kwani zipo kwenye laptop yangu.
 
Acha kuongopea. Hizo picha mbili ni za watu wawili tofauti kabisa wajuu ana asili ya kiarabu na ni mzee flani ivi wachini bado young.. Hata kipofu hashindwi kugundua hilo.. Tupe evidence nyingine utuconvice.. 😉

Kweli aisee angalia MASIKIO YAO UTAGUNDUA NI WATU WAWILI TOFAUTI
 
Nina Kipara na nimeshatumia bidhaa nyingi lkn wapi, bila shaka we ni muislam na ni ijumaa leo ndani ya mwezi mtukufu, unauhakika na hichi ulichoweka hapa, watu tumeshatapeliwa sana na vipara vyetu vikageuzwa mitaji aisee

Alhamdulillahi na Ramadhani hii jamani nidanganye?

Nimesema nipo tayari kukupa utumie kama haujafanikiwa usilipie.

Niseme nini zaidi ya hivyo?
 
Wabongo ndio maana wengine tumeumbwa na ngozi nyeusi lakini tunaamua kutumia madawa eti tuwe weupe, aliyekwambia kuwa weusi ni laana ni nani!?
Hivyo hivyo aliyekwambia kuwa kuwa na kipara ni ulemavu au laana ni nani!?
 
Huyo ni mtu mmoja sina sababu ya kukuongopea hata kidogo na ni mwanangu mwenyewe.

Ni mtu mmoja picha zilipigwa sehemu tofauti na wakati tofauti ndiyo maana unaona different ya rangi.

Mie unanionaje kwenye avatar nina asili ipi?

Hayo ndio maajabu yenyewe, utafikiri watu wawili tofauti lakini ni mmoja tu, umemuona mzee kwa kuwa ana kipara na sasa kaota nywele anaonekana kijana zaidi. Na hiyo ndugu yangu ni baada ya wiki nne tu ya kutumia Aunt Zainab's Natural Super Clay.

Ukipenda karibu nyumbani umuone mwenyewe. hakuna cha kuficha hapa.

Zainab Yawezekana dawa yako Ni Kweli unasaidia Maana MI mwenyewe inaanza kuota KIPARA Ila Picha za kwanza SI ZA MTU MMOJA ANGALIA MASIKIO NA MDUARA WA KICHWA INAONESHA SI MTU MMOJA. DHAMIRA YAKO NZURI ILA UKIINGIZA UONGO NITAANZA KUA NA MASHAKA NA BIDHAA PIA
 
Kweli aisee angalia MASIKIO YAO UTAGUNDUA NI WATU WAWILI TOFAUTI

Jamani huyo ni mtu mmoja, iicha moja imepigwa nje picha moja ndani, mwangaza ni tofauti na siku ni tofauti hata nchi tofauti na camera tofauti. Sina sababu ya kudanganya.

Njoo nyumbani kwangu umuone na bidhaa ipo kwangu na njoo utumie bure kwa tatizo lako lolote linalohusiana na ngozi na nywele.

Ningekuwa ninadanganya nisingeweka picha yangu ya kweli na anuani yangu na ya nyumbani kwangu.

Wengi humu JF wameshaitumia hii bidhaa kwa ajili ya ngozi na wengi wamekuja kuichukuwa nyumbani kwangu. Hii ya kuhusu nywele ndio kwanza naanza kuitangaza baada ya kuona mafanikio ya mwanangu.

Karibu sana.
 
Zainab Yawezekana dawa yako Ni Kweli unasaidia Maana MI mwenyewe inaanza kuota KIPARA Ila Picha za kwanza SI ZA MTU MMOJA ANGALIA MASIKIO NA MDUARA WA KICHWA INAONESHA SI MTU MMOJA. DHAMIRA YAKO NZURI ILA UKIINGIZA UONGO NITAANZA KUA NA MASHAKA NA BIDHAA PIA

Sina sababu ya kudanganya jamani, huyo ni mwanangu na ni mtu mmoja, nimeshajibu hilo swali kwenye post nyingi. Zipitie.
 
Sina sababu ya kudanganya jamani, huyo ni mwanangu na ni mtu mmoja, nimeshajibu hilo swali kwenye post nyingi. Zipitie.

Una guarantee Maana Zisiponisaidia utakua umenitapeli, naomba nitumie niwe SHAHIDI WAKO HUMU NDANI
 
Wabongo ndio maana wengine tumeumbwa na ngozi nyeusi lakini tunaamua kutumia madawa eti tuwe weupe, aliyekwambia kuwa weusi ni laana ni nani!?
Hivyo hivyo aliyekwambia kuwa kuwa na kipara ni ulemavu au laana ni nani!?

Ni nani aliesema kuwa kipara ni laana?

Kuna wenye matatizo ya nywele kutoka bila kupenda, kuna wenye matatizo ya nywele kutokuwa na afya na kuna wasiopenda kuwa vipara. Ni mtazamo wa mtu tu na mapendezo yake. Huwezi kulazimisha kila mtu awe na fikra kama zako.


Jiulize wewe binafsi aliekwambia hayo ulioyaandika ni nani?
 
Ungetuwekea na jinsi ya kutumia kwa wale wenye vipara ili tukinunua kwa mawakala wa mikoani tujue tutatumiaje.
 
Una guarantee Maana Zisiponisaidia utakua umenitapeli, naomba nitumie niwe SHAHIDI WAKO HUMU NDANI

Ninataka wewe uje uanze kuutumia bure bila kulipia hata senti tano na uje kuwa shahidi yangu.

Zaidi ya hapa sijui nikupe ushahidi upi.

Sina haja ya kukuibia wala kumuibia yeyote yule na Mwenyeezi Mungu asinipe moyo huo.

Njoo tumia bure tu. Wala usiwe na wasi wasi ndugu yangu.

Na juu huko nimetoa offer, mwenye matatizo yoyote ambayo dawa hii itasaidia na hana uwezo wa ki fedha basi aje achukuwe dawa hii bure.
 
Huyo ni mtu mmoja sina sababu ya kukuongopea hata kidogo na ni mwanangu mwenyewe.

Ni mtu mmoja picha zilipigwa sehemu tofauti na wakati tofauti ndiyo maana unaona different ya rangi.

Mie unanionaje kwenye avatar nina asili ipi?

Hayo ndio maajabu yenyewe, utafikiri watu wawili tofauti lakini ni mmoja tu, umemuona mzee kwa kuwa ana kipara na sasa kaota nywele anaonekana kijana zaidi. Na hiyo ndugu yangu ni baada ya wiki nne tu ya kutumia Aunt Zainab's Natural Super Clay.

Ukipenda karibu nyumbani umuone mwenyewe. hakuna cha kuficha hapa.

Kuwa mkweli huoni picha ya kwanza ni kubwa kama jiji na zinazo fuata ni ndogo kama municipal. Pia Nature follows its own line.take care
 
Ungetuwekea na jinsi ya kutumia kwa wale wenye vipara ili tukinunua kwa mawakala wa mikoani tujue tutatumiaje.

Unachukuwa hii Aunt Zainab's Natural Super Clay kiasi ya kijiko kimoja cha chakula, unachanganya na maji iwe nzito nzito kama ugali laini au uji mzito, unapaka kichwa chote wakati upo nyumbani na ukikauka unalala nao, asubuhi unakoga tu kama kawaida. Ukikauka hauchafui nguo wala mashuka ya kitanda.

Mwanangu nilieweka picha zake hapo ndivyo alivyotumia na matokeo ni hayo baada ya wiki nne.
 
Umemjaribu mwanao tu umesharuka hewani utuuzie dawa! Makubwa haya.

Sasa makuje swali dume......TBS na hii menzie TFDA naolewa hii bishara yako ya nywele mpya?
 
Kuwa mkweli huoni picha ya kwanza ni kubwa kama jiji na zinazo fuata ni ndogo kama municipal. Pia Nature follows its own line.take care

Pich hizo zimepigwa sehemu tofauti na camera tofauti na wakati tofauti, na moja ni nje na nyingine ni ndani ya nyumba, hata miji ilizopigwa hizo picha ni tofauti.

Na hizo picha hazijapigwa ki professional kwa ajili ya advertising. Hizo ni picha zilizopigwa kawaida tu kwa ajili ya kumbukumbu.

Huyo ni mwanangu na ni mtu mmoja na sina haja ya kudanganya, nidanganye ili iweje?
 
Ninataka wewe uje uanze kuutumia bure bila kulipia hata senti tano na uje kuwa shahidi yangu.

Zaidi ya hapa sijui nikupe ushahidi upi.

Sina haja ya kukuibia wala kumuibia yeyote yule na Mwenyeezi Mungu asinipe moyo huo.

Njoo tumia bure tu. Wala usiwe na wasi wasi ndugu yangu.

Na juu hukon imetoa offer, mwenye matatizo yoyote ambayo dawa hii itasaidia na hana uwezo wa ki fedha basi aje achukuwe dawa hii bure.

Nipo dodoma Napaje hiyo ya bure ili NIJE KUWAAMINISHA WASIOAMINI
 
Back
Top Bottom