Unatokwa na nywele? Una kipara? Jionee maajabu ya Aunt Zaynab's Natural Super Clay

Unatokwa na nywele? Una kipara? Jionee maajabu ya Aunt Zaynab's Natural Super Clay

Hujanielewa nadhani...nimemaanisha kwamba uedit post yako na uweke picha zingine zinazoonekana vyema.
Pointi yangu hapa ni kwamba post inaweza kuwa edited...ukaongeza picha, kuongeza maneno au kupunguza nk.

Ndio numekuelewa, mimi sielewi sana mambo ya picha, kama unaweza kunipa email nikutumie au whatsapp halafu wewe uziweke kwenye post yako halafu mimi nita copy na kuziweka kwenye post yangu.
 
Kweli ni mmoja zile picha, angalieni kichwa chake

Huyo ni mmoja akija nitamwambia apige tena akae angle kama ile ya before, ili watu wamuone vizuri.

Nimejaribu namba ulionipa whatsapp inakataa, ngoja nimep mume wangu na yeye ajaribu kukutumia kwa simu yake.
 
NI mafuta ya kupaka?

Hapana si mafuta, ni udongo natural unaopatikana meter 40 chini ya ardhi na unauchanganya na maji tu, hauna harufu hauna allergy reactions na hauna madhara, ni ajabu sana hii tiba ya asili 100%
 
Sinza gani mie nautaka maana siku hiz ngozi yangu siilewi

Sinza kwa remmy karibu na B bar na Miller bar ukifika sehemu hiyo nipigie tu nitakufahamisha. Kama unaijuwa twitter pub basi tunatazamana nayo.

Kama hauzijui hizo sehemu, ukifika kwa Remmy nipigie nitakufahamisha 0769302206.
 
Ni nani aliesema kuwa kipara ni laana?
Kuna wenye matatizo ya nywele kutoka bila kupenda, kuna wenye matatizo ya nywele kutokuwa na afya na kuna wasiopenda kuwa vipara. Ni mtazamo wa mtu tu na mapendezo yake. Huwezi kulazimisha kila mtu awe na fikra kama zako.
Jiulize wewe binafsi aliekwambia hayo ulioyaandika ni nani?
Ndio naelewa, haya ni maumbile ya binadamu na kuna watu asili yao hawatoki vipara lakini wengine miaka 18 tu kimeshatoka kulingana na asili za familia wanazotokea. Sasa kwa wale wa asili hiyo ni kwa nini uhangaike nacho!?
Hii si ni sawa na watu wafupi kama Wajapan kutaka warefuke kama Waholanzi!?

 
Ndio naelewa, haya ni maumbile ya binadamu na kuna watu asili yao hawatoki vipara lakini wengine miaka 18 tu kimeshatoka kulingana na asili za familia wanazotokea. Sasa kwa wale wa asili hiyo ni kwa nini uhangaike nacho!?
Hii si ni sawa na watu wafupi kama Wajapan kutaka warefuke kama Waholanzi!?

Yakikukuta hautaongea hivi, mshukuru MUNGU tu kwa alivyokuumba
 
Zainab tuelekeze jinisi ya kutumia dawa isipootesha nywele sitakulaumu maana hata za wazungu kama za malaria nanunua 10,000 na haiponyeshi malaria sembuse 5000???

Tena ndugunynagu hata 5,000 haufiki ukununua kwetu moja kwa moja ni 3,500 tu.

Unachukuwa hii Aunt Zainab's Natural Super Clay kiasi ya kijiko kimoja cha chakula, unachanganya na maji iwe nzito nzito kama ugali laini au uji mzito, unapaka kichwa chote wakati upo nyumbani na ukikauka unalala nao, asubuhi unakoga tu kama kawaida. Ukikauka hauchafui nguo wala mashuka ya kitanda.

Na ule uliobaki kama umeokoroga mwingi kuliko ulivyotumia unautumia tena siku ya pili hauharibiki kabisa hata ukikaa mwaka , sana sana unakauka ukiuongeza maji ukiukoroga unarudi vile vile. Ni ajabu.

Mwanangu niliyeweka picha zake hapo ndivyo alivyotumia na matokeo ni hayo baada ya wiki nne, lakini abasema baada ya siku tatu tu kaanza kuona mabadiliko..
 
Jana usiku nimefurahishwa sana na comment a ManMoker hapo juu.

Mwanangu nimemuonesha post ya manmkoer, kafurahi sana. Anasema sasa hata yeye anaamini kuwa kweli nywele zinaota kwa kasi mpaka watu hawaamini kuwa huyo ni yeye na sio watu tofauti.

Amecheka sana pale aliposoma kuwa hiyo picha ya kwanza ni ya mzee na ya pili ni ya kijana.

Ninawahakikishia huyo ni mtu mmoja, kabla na baada ya kutumia Aunt Zainab's Natural Super Clay kwa muda mfupi sana.


Ninamtumia ManMoker kwa pm picha kamili zinazoonesha sura ya mwanangu kabla na baada ili amuone vizuri kwa kumuhakikishia tu kuwa huyo mtu mmoja.

Sijapata hizo picha. Em tuma tena..
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom