Unatokwa na nywele? Una kipara? Jionee maajabu ya Aunt Zaynab's Natural Super Clay

Unatokwa na nywele? Una kipara? Jionee maajabu ya Aunt Zaynab's Natural Super Clay

Nashukuru...je baada ya kuota nywele unaendelea kutumia au ndio itakuwa huwezi kuacha kuitumia hiyo dawa..yaani ni kila siku. Asante.

Unatumia na ukiona sasa nywele zimestawi vya kutosha unaacha kuitumia lakini tunashauri uwe unatumia japo wiki mara moja ku zi maintain na ku balance nywele zenye afya, na hii ni hata kwa wale wasio na matatizo ya nywele, ni kama unatumia shampoo.
 
Unatumia na ukiona sasa nywele zimestawi vya kutosha unaacha kuitumia lakini tunashauri uwwe unatumia japo wiki mara moja ku zi manitain na ku balance nywele zenye afya, na hii ni hata kwa wale wasio na matatizo ya nywele, ni kama unatumia shampoo.

Asante sana kwa ufafanuzi wako..nitakuona.
 
Namna ya kuutumia ni hivyo hovyi iwe unaupaka kichwani au mwilini:

Unachukuwa hii Aunt Zainab's Natural Super Clay kiasi ya kijiko kimoja cha chakula, unachanganya na maji iwe nzito nzito kama ugali laini au uji mzito, unapaka kichwa chote wakati upo nyumbani na ukikauka unalala nao, asubuhi unakoga tu kama kawaida. Ukikauka hauchafui nguo wala mashuka ya kitanda.

Na ule uliobaki kama umeokoroga mwingi kuliko ulivyotumia unautumia tena siku ya pili hauharibiki kabisa hata ukikaa mwaka , sana sana unakauka ukiuongeza maji ukiukoroga unarudi vile vile. Ni ajabu.

Mwanangu niliyeweka picha zake hapo ndivyo alivyotumia na matokeo ni hayo baada ya wiki nne, lakini abasema baada ya siku tatu tu kaanza kuona mabadiliko..
 
Ma sha Allah, Zainab Mwenyeezi Mungu akujaalie ufanikiwe katika hili na jengine.

I know you have the best product and I know how hard you are working on it. In sha Allah itakuwa na mafanikio kwako na kwa watumiaji wako.

Hey, I'm not coming to town tomorrow as relatives are coming to Mkuranga for Eid, but when they come back I'll make sure unaipata biriani ya Mkuranga.

Eid Mubarak.

I'll be in town on Tuesday In sha Allah.

Msalimie sana "babu" Abdul na Hussein Miss yah.
 
Aunt Zainab's Natural Super Clay, sasa imeonesha matumaini makubwa kwa wale wenye vipara na wale wenye matatizo ya kung'oka nywele, nywele zisizo na afya, nywele zinazokatika katika, nywele zinazong'oka kwa kutumia madawa ya nywele yenye kemikali kali, nywele zinazong'ka kwa kuvaa sana mawigi, nywele zinazong'oka baada ya kusukia nywele za bandia kwa muda mrefu.

Nimemjaribu mwanangu mwenyewe ambae alikuwa na kipara kinachokuja kwa kasi, na haya ni matokeo baada ya kutumia Aunt Zainab's Natural Super Clay kwa wiki nne tu, jionee mwenyewe:

Before

View attachment 268739View attachment 268761

Sema bei na quantity
 
Usiwe na wasi wasi hii 100% natural remedy watu wengi sana hata humu humu JF ni ushahidi tosha wameshaitumia kwa matatizo ya ngozi kila aina na imewasaidia sana tena.

Tena ninakushauri, hata kama hauna tatizo lolote hii product inafaa uwenayo nyumbani kwenye first aid kit yako na hata kwenye gari. Inasaidia na inaponesha haraka kuunguwa kwa moto kuliko dawa nyingine yoyote uijuayo. na pia ukitafunwa na nyuki au wadudu wengine ni remedy ya haraka sana.

Karibu sana.

Aunt Zainab mimi ni shahid wa hii remedy yako tulichukua kwako sinza ingawa sikuwa na tatizo la ngozi ila nimekuwa nikiutumia ni mzuri sana! Sikujua tu kama unasaidia hata mtu aliyeng'atwa na nyuki au moto! Thanks
 
Ma sha Allah, Zainab Mwenyeezi Mungu akujaalie ufanikiwe katika hili na jengine.

I know you have the best product and I know how hard you are working on it. In sha Allah itakuwa na mafanikio kwako na kwa watumiaji wako.

Hey, I'm not coming to town tomorrow as relatives are coming to Mkuranga for Eid, but when they come back I'll make sure unaipata biriani ya Mkuranga.

Eid Mubarak.

I'll be in town on Tuesday In sha Allah.

Msalimie sana "babu" Abdul na Hussein Miss yah.

Asalaam Alaikum Bi dada. Idd Mbaraka kwa ko pia na kwa familia yako.

Nashukuru kwa dua zako.

Nasubiri biriani.
 
Aunt Zainab mimi ni shahid wa hii remedy yako tulichukua kwako sinza ingawa sikuwa na tatizo la ngozi ila nimekuwa nikiutumia ni mzuri sana! Sikujua tu kama unasaidia hata mtu aliyeng'atwa na nyuki au moto! Thanks

Asante Prishaz.

Sasa tumegundua inasaidia pia kwenye nywele kama nilivyoweka kwenye post namba moja.

Nnawatakia Idd njema.
 
Sema bei na quantity

Bei ni 3,500 kwa pakiti.

Quantity; kama upo karibu na inapopatikana na hakuna haja ya kusafirishiwa ninakushauri anza na pakiti tatu. Tumia kila siku uone matokeo kama ni mazuri utaendelea nayo kadiri ya matokeo. Kma upo mbali na inabidi usafirishiwe basi ninakushauri chukuwa dozen moja, utatumia kiasi chako na uliobaki utauza huko huko, utarudisha gharama za usafiri na faida juu.

Hii ni tiba yetu ya asili na tunataka imfaidishe kila mtu ndiyo maana bei zetu ni kwa kila mtu aweze kumudu.

Karibu sana.
 
Back
Top Bottom