Koffi Annan
JF-Expert Member
- Dec 23, 2018
- 1,771
- 5,087
Fridge zipo za aina tofauti kulingana na ujazo na aina ya matumizi, fuatana nami katika Makala hii fupi itakayokuongoza namna ya kuchagua kulingana na mahitaji yako;
Fridge zenye pande mbili
Hizi ni fridge zenye nafasi kubwa kuliko zote, zinafaa kwa matumizi ya familia au kwa wewe mwenye mamisosi ya kumwaga, nyingi zinakua na upande mmoja freezer kugandisha na mwingine fridge kwa ubaridi wa kawaida. Kuna zenye water dispenser na zingine hazina.
Hizi zinaanzia 1.8M-7M kulingana na ujazo na kampuni.
Fridge za milango wa juu na chini, hizi zinakua na freezer upande wa juu (Top Freezer) na (Bottom Freezer); Utatumia Top Freezer kwa matumizi ya kawaida na Bottom freezer kama unahitaji freezer kubwa kwa ajili ya kugandisha hasa kama unanunua vitoweo kama nyam ana Samaki stock nyingi.
Hizi zinaanzia 700K-2.5M kulingana na ujazo na kampuni.
Bottom Freezer inakua na freezer upande wa chini ambayo huwa kubwa sana kuliko Top Freezer
Top Freezer
r
Bottom Freezer
Fridge ya mlango mmoja hizi zinafaa sana kwenye single rooms zinakua na nafasi nzuri kwa matumizi madogo, na zipo ndogo kabisa ambazo unaweka chumbani kwa ajili ya matumizi binafsi. Hizi zinaanzia 300k-1M kulingana na ujazo na kampuni.
TRENDING FRIDGES
Teknolojia ya fridge nayo inakua kama zilivyo electronics nyingine, Samsung Mirror fridge na LG Instaview ndio fridge za kisasa kutoka kampuni mbili zinazoongoza kwa ubora kwa bei ya 5/6Million;
Matumizi madogo ya umeme, nafasi kubwa, water dispenser yenye ice maker na rangi tofauti ni features zilizopo kwenye fridge nyingi za kisasa.Fridge za kisasa hazigandishi barafu kwa ndani, zina feature ya kutoa harufu ya vyakula inakuwa inanukia fresh muda wote ukifungua, lakini pia zinatumia umeme kidogo.
Kampuni za Samsung, Westpoint, LG na Hisense ndio fridge zinazokimbiza kwa soko la bongo ila kampuni zote za electronics zina fridge tofauti, ukishindwa bei kati ya hizo nilizotaja jaribu kampuni nyingine za kachina ambazo zina bei ya chini, huko unapata fridge yenye pande mbili mpaka kwa 1.5M.
Uliza swali lolote linalohusiana na fridge, bei, aina/kampuni, ubora, matumizi na matengenezo.
Fridge zenye pande mbili
Hizi ni fridge zenye nafasi kubwa kuliko zote, zinafaa kwa matumizi ya familia au kwa wewe mwenye mamisosi ya kumwaga, nyingi zinakua na upande mmoja freezer kugandisha na mwingine fridge kwa ubaridi wa kawaida. Kuna zenye water dispenser na zingine hazina.
Hizi zinaanzia 1.8M-7M kulingana na ujazo na kampuni.
Fridge za milango wa juu na chini, hizi zinakua na freezer upande wa juu (Top Freezer) na (Bottom Freezer); Utatumia Top Freezer kwa matumizi ya kawaida na Bottom freezer kama unahitaji freezer kubwa kwa ajili ya kugandisha hasa kama unanunua vitoweo kama nyam ana Samaki stock nyingi.
Hizi zinaanzia 700K-2.5M kulingana na ujazo na kampuni.
Bottom Freezer inakua na freezer upande wa chini ambayo huwa kubwa sana kuliko Top Freezer
Top Freezer
r
Bottom Freezer
Fridge ya mlango mmoja hizi zinafaa sana kwenye single rooms zinakua na nafasi nzuri kwa matumizi madogo, na zipo ndogo kabisa ambazo unaweka chumbani kwa ajili ya matumizi binafsi. Hizi zinaanzia 300k-1M kulingana na ujazo na kampuni.
TRENDING FRIDGES
Teknolojia ya fridge nayo inakua kama zilivyo electronics nyingine, Samsung Mirror fridge na LG Instaview ndio fridge za kisasa kutoka kampuni mbili zinazoongoza kwa ubora kwa bei ya 5/6Million;
Matumizi madogo ya umeme, nafasi kubwa, water dispenser yenye ice maker na rangi tofauti ni features zilizopo kwenye fridge nyingi za kisasa.Fridge za kisasa hazigandishi barafu kwa ndani, zina feature ya kutoa harufu ya vyakula inakuwa inanukia fresh muda wote ukifungua, lakini pia zinatumia umeme kidogo.
Kampuni za Samsung, Westpoint, LG na Hisense ndio fridge zinazokimbiza kwa soko la bongo ila kampuni zote za electronics zina fridge tofauti, ukishindwa bei kati ya hizo nilizotaja jaribu kampuni nyingine za kachina ambazo zina bei ya chini, huko unapata fridge yenye pande mbili mpaka kwa 1.5M.
Uliza swali lolote linalohusiana na fridge, bei, aina/kampuni, ubora, matumizi na matengenezo.