Unatumia kiasi cha gani cha Fedha kwa mwezi kwa ajili ya bando la Intaneti?

Unatumia kiasi cha gani cha Fedha kwa mwezi kwa ajili ya bando la Intaneti?

Mimi najibana sana natumia shilingi elfu 25 ambapo napata 30gb huduma ya post paid.

Tuambie unatumia kiasi gani cha pesa kwa mwezi kwa ajili ya bando la internet hasa wakati huu mabando hayshikiki?

IMG_4393.png

leta hela upewe menyu
 
Back
Top Bottom