Intelligent businessman
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 31,913
- 65,514
Salama, shikamoohabari ya leo binti yangu leeja
Na wewe umepata Dem?Nakojoa pazuri π€
kheri!..rasharasha za mvua umezipoke vipiSalama za kwako?
Nimetoka nayo huko asubuhi, na nimeikuta huku yani Shida tukheri!..rasharasha za mvua umezipoke vipi
Sawasawa πNope, am on my own
View attachment 2862452
hujaloa lakiniNimetoka nayo huko asubuhi, na nimeikuta huku yani Shida tu
Namshukuru Mungu haijanilowesha aisee πhujaloa lakini
Kuna kusikia na kusikiliza.Mtu mwenye akili timamu hawezi kuwa na hasira.
Hasira ni ugonjwa