Unatumia mbinu gani ili hasira ziishe?

Unatumia mbinu gani ili hasira ziishe?

Na wewe umepata Dem?
Nope, am on my own
Screenshot_20240105-123213_1.jpg
 
8, Kaka mzuri ndio kila kitu, nikishaongea nae mwenyewe anajua jinsi ya kunituliza basi hasira zote kwisha.

Kabla yake nilikuwa team 2, nakaa kimya yakinizidi nahamia 4 namuomba Mungu napata amani.
 
Namba 5 ndio hatuna sahihi ili huyo aliyeingia kwenye himaya yako asirudie tena,peleka spana mpaka siku nyingine awe anakuogopa kama ukoma.
 
Hasira ukaa moyoni mwa MTU mpumbavu,hasira uwapata watu wapumbavu pekee
 
Kufanya kazi, yaani hiyo siku kama niko shamba nitalima mpaka mnifate wenyewe !!!!
 
Back
Top Bottom