Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Siwezi kusema for my own privacyNchi gani hiyo upo?
Nipe mbinu za kudai kistaarabu... nahisi I'm too harsh
Kumuandikisha mtu kisa pochi naona ni process. Nime note ushauri wakoBiashara iliyo bora ni ya kuuza kwa cash au kukopesha kwa riba tena kwa maandishi zaidi ya hapo utapoteza mtaji bure.
Asee usianye kudai chako kwani ulilazimisha mtu akope? Kwanza acha kukopesha waambie "pesa mbele kama mimba".Nipe mbinu za kudai kistaarabu... nahisi I'm too harsh
Sent From Galaxy S9
Haha privacy hadi nchi!!! HayaSiwezi kusema for my own privacy
Sent From Galaxy S9
AhsanteDaa pole
Sent from my iPhone using Tapatalk
Ndio
Kwa mtazamo wangu mbinu unayoweza kuitumia kwa kudai, ambayo ni nzuri na inasaidia ni kupitia msg za Simu! Wadaiwa walio wengi huwa hawapendi kukumbushwa Mara kwa Mara kuhusu deni analodaiwa! Hivyo basi hakikisha kila siku unamfowardia msg za kukumbusha deni lako kwake, lkn pia usiache kuonyesha masikitiko yako kwa jinsi anavyokucheleweshea kukulipa!Ndio
Sent From Galaxy S9
Nipe mbinu za kudai kistaarabu... nahisi I'm too harsh
Sent From Galaxy S9
Yaani uweke profile picha yako halisi halafu eti uogope kutaja nchi uliyopo kwa kuficha privacy yako? acha kutufanya sisi ni watoto wadogo.Ndio
Sent From Galaxy S9