Unatumia mbinu gani kudai watu unaowada? Nafikiria kutokopesha watu ovyo ovyo ila roho inanisuta

Unatumia mbinu gani kudai watu unaowada? Nafikiria kutokopesha watu ovyo ovyo ila roho inanisuta

Kwa mtazamo wangu mbinu unayoweza kuitumia kwa kudai, ambayo ni nzuri na inasaidia ni kupitia msg za Simu! Wadaiwa walio wengi huwa hawapendi kukumbushwa Mara kwa Mara kuhusu deni analodaiwa! Hivyo basi hakikisha kila siku unamfowardia msg za kukumbusha deni lako kwake, lkn pia usiache kuonyesha masikitiko yako kwa jinsi anavyokucheleweshea kukulipa!
Wastani wa msg kwa siku zisipungue 10.
Ukifanya hivi Hata wiki mbili haziwezi kupita kabla deni lako hajalipa!

Sent using Jamii Forums mobile app
Ushauri mzuri. Naanza kuutumia leo [emoji23]

Sent From Galaxy S9
 
Unaweza kupata pesa yako kwa njia ya kisheria ila unapaswa kua mvumilivu unapaswa kufanya yafuatayo
1. Kunasa ushahidi wa pesa unayomdai ikiwa kwa njia ya kumrikodi na kumtia kwenye mnasi wa yeye mwenyewe kutamka kua unamdai kiasi flani
2. Ukishapata ushahidi uhifadhi kisha kusanya vitu anavyomiliki na ushahidi kua vitu hivyo ni vyake kwa ushahidi wa copy ya miliki au jina lake kuwepo kwenye umiliki
3. Kama unavyosema hio kesi ni ya madai unapaswa kwenda mahakamani na ushahidi kua unamdai flani kiasi flani
4. Jitahidi upate ushahidi kua mdaiwa ni mkorofi anakuwezo wa kulipa ila hataki kulipa

Mtafute wakili anza kesi nnauhakika kama wakili mzuri na fidia unapata
 
Msome kwanza kama ni muoga wa polisi na kukaa ndani, ongea tu na polisi waje wamtie pressure kidogo.

Kuna dingi alitusumbua sana, tulipompanga polisi mmoja central akampiigia simu aende ajieleze kuhusu deni letu. Jamaa yule kumbe mwoga balaa . Haikuchukua masaa mzigo wote akauleta.

Ila umpime maana wengine polisi hawana hofu napo kabisa, maana wanajua sheria na loophole za kukupiga chenga.
 
Leo kwenye kipindi cha You heard cha Sudi brown CMG nimesikia dada mmoja akiwayangaza hadharani wadeni wake, tena deni elfu 25, ambalo jamaa wamekunywa drinks kwenye grocery yake lakini kulipa majanga. Tena mijamaa yenyewe ni wasanii, aloo yaani waluvyopaniki natumai mbio mbio watakuwa wameenda kumlipa maana amesema ataendelea kuwatangaza redioni hadi wamlipe.... Hii ni dawa safi sana..
 
Wakuu kuna mtu nilimkopesha pesa ananizungusha nayo takribani miezi 6 sasa

Na hela anapata sana tu ila anaona nongwa kunipa pesa yangu

Wataalam wa humu nisaidieni
Kama kaoa mwambie utamwambia mke wake au wake zake full stop iyo aibu hamna mwanaume ataikubali.
 
Leo kwenye kipindi cha You heard cha Sudi brown CMG nimesikia dada mmoja akiwayangaza hadharani wadeni wake, tena deni elfu 25, ambalo jamaa wamekunywa drinks kwenye grocery yake lakini kulipa majanga. Tena mijamaa yenyewe ni wasanii, aloo yaani waluvyopaniki natumai mbio mbio watakuwa wameenda kumlipa maana amesema ataendelea kuwatangaza re
Leo kwenye kipindi cha You heard cha Sudi brown CMG nimesikia dada mmoja akiwayangaza hadharani wadeni wake, tena deni elfu 25, ambalo jamaa wamekunywa drinks kwenye grocery yake lakini kulipa majanga. Tena mijamaa yenyewe ni wasanii, aloo yaani waluvyopaniki natumai mbio mbio watakuwa wameenda kumlipa maana amesema ataendelea kuwatangaza redioni hadi wamlipe.... Hii ni dawa safi sana..
mzee umenipa akili namm nafanya hvo kesho
dioni hadi wamlipe.... Hii ni dawa safi sana..safi
 
Nenda kwa mganga analainishwa anatoa huyo tena anakutafuta mwenyewe
 
Unaweza kupata pesa yako kwa njia ya kisheria ila unapaswa kua mvumilivu unapaswa kufanya yafuatayo
1. Kunasa ushahidi wa pesa unayomdai ikiwa kwa njia ya kumrikodi na kumtia kwenye mnasi wa yeye mwenyewe kutamka kua unamdai kiasi flani
2. Ukishapata ushahidi uhifadhi kisha kusanya vitu anavyomiliki na ushahidi kua vitu hivyo ni vyake kwa ushahidi wa copy ya miliki au jina lake kuwepo kwenye umiliki
3. Kama unavyosema hio kesi ni ya madai unapaswa kwenda mahakamani na ushahidi kua unamdai flani kiasi flani
4. Jitahidi upate ushahidi kua mdaiwa ni mkorofi anakuwezo wa kulipa ila hataki kulipa

Mtafute wakili anza kesi nnauhakika kama wakili mzuri na fidia unapata
Hichi ni kirefu cha kuwaambia watu wasamehe madeni yanayowasumbua

Namdai mtu elfu 40 nifanye hivi kweli?
 
Back
Top Bottom