Tuttyfruity
JF-Expert Member
- Dec 3, 2017
- 2,414
- 6,371
Ushauri mzuri. Naanza kuutumia leo [emoji23]Kwa mtazamo wangu mbinu unayoweza kuitumia kwa kudai, ambayo ni nzuri na inasaidia ni kupitia msg za Simu! Wadaiwa walio wengi huwa hawapendi kukumbushwa Mara kwa Mara kuhusu deni analodaiwa! Hivyo basi hakikisha kila siku unamfowardia msg za kukumbusha deni lako kwake, lkn pia usiache kuonyesha masikitiko yako kwa jinsi anavyokucheleweshea kukulipa!
Wastani wa msg kwa siku zisipungue 10.
Ukifanya hivi Hata wiki mbili haziwezi kupita kabla deni lako hajalipa!
Sent using Jamii Forums mobile app
Kama umeweza kuweka picha yako kwanini unaogopa kutaja nchi ulipo? Au unatufanya sisi ni watoto?Ndio
Sent From Galaxy S9
Kijana inaonekana hajui kudai, zangu msela angezitapikaMliandikishana wapi?, ulimwambia unamkopesha ama unamsaidia? Ukimkumbusha anakuambiaje?
😀 mpe hayo maujanja ya kutapisha mtu unachomdai mkuu, msaidie kijana mwenzetu.Kijana inaonekana hajui kudai, zangu msela angezitapika
Hahahaha.. nishampa maujanja hapo juu, kama hakuufuata basi kijana atakuwa kajitakia mwenyew kudhulumiwa😀 mpe hayo maujanja ya kutapisha mtu unachomdai mkuu, msaidie kijana mwenzetu.
Ok basi kazi kwake 😀Hahahaha.. nishampa maujanja hapo juu, kama hakuufuata basi kijana atakuwa kajitakia mwenyew kudhulumiwa
Dah Watoto wa mama samia jau sanaUnamdai Tsh ngapi?....ukute hata elf50 haifiki
Kama kaoa mwambie utamwambia mke wake au wake zake full stop iyo aibu hamna mwanaume ataikubali.Wakuu kuna mtu nilimkopesha pesa ananizungusha nayo takribani miezi 6 sasa
Na hela anapata sana tu ila anaona nongwa kunipa pesa yangu
Wataalam wa humu nisaidieni
Leo kwenye kipindi cha You heard cha Sudi brown CMG nimesikia dada mmoja akiwayangaza hadharani wadeni wake, tena deni elfu 25, ambalo jamaa wamekunywa drinks kwenye grocery yake lakini kulipa majanga. Tena mijamaa yenyewe ni wasanii, aloo yaani waluvyopaniki natumai mbio mbio watakuwa wameenda kumlipa maana amesema ataendelea kuwatangaza re
mzee umenipa akili namm nafanya hvo keshoLeo kwenye kipindi cha You heard cha Sudi brown CMG nimesikia dada mmoja akiwayangaza hadharani wadeni wake, tena deni elfu 25, ambalo jamaa wamekunywa drinks kwenye grocery yake lakini kulipa majanga. Tena mijamaa yenyewe ni wasanii, aloo yaani waluvyopaniki natumai mbio mbio watakuwa wameenda kumlipa maana amesema ataendelea kuwatangaza redioni hadi wamlipe.... Hii ni dawa safi sana..
dioni hadi wamlipe.... Hii ni dawa safi sana..safi
Hichi ni kirefu cha kuwaambia watu wasamehe madeni yanayowasumbuaUnaweza kupata pesa yako kwa njia ya kisheria ila unapaswa kua mvumilivu unapaswa kufanya yafuatayo
1. Kunasa ushahidi wa pesa unayomdai ikiwa kwa njia ya kumrikodi na kumtia kwenye mnasi wa yeye mwenyewe kutamka kua unamdai kiasi flani
2. Ukishapata ushahidi uhifadhi kisha kusanya vitu anavyomiliki na ushahidi kua vitu hivyo ni vyake kwa ushahidi wa copy ya miliki au jina lake kuwepo kwenye umiliki
3. Kama unavyosema hio kesi ni ya madai unapaswa kwenda mahakamani na ushahidi kua unamdai flani kiasi flani
4. Jitahidi upate ushahidi kua mdaiwa ni mkorofi anakuwezo wa kulipa ila hataki kulipa
Mtafute wakili anza kesi nnauhakika kama wakili mzuri na fidia unapata