Nmegundua kwamba sio wafanyabiashara wengi wanatumia mitandao (Internet) kuwapata wateja wao, wakati ukweli ni kwamba kwa kutumia mitandao hasa mitandao ya kijamii unaweza kuwapata wateja wengi kwenye biashara yako na kukuza soko lako, hii ni dhahiri hata kwa wale wachache waliochagua kutumia mitandao ya kijamii wanaona matunda yake.
Nadhani pengine ni mazoea tu kwamba kwa hali ya kawaida mfanyabiashara wa kitanzania anakua haoni kama anaweza pia kupata wateja zaidi ya wale waliomzunguka mf. Dukani kwake.
Nimeona upo uwezekano wa kutengeneza mfumo wa mtandaoni ambao unaweza kukusogezea karibu wateja kutoka mbali, zaidi ya majirani wako kwenye site ya biashara yako, upo uwezekano wa kufungua duka kariakoo lakini ukawapata wateja kutoka kila kona ya jiji. Lakini pa kuanzia ni kujua ni njia gani unayotumia kwa sasa ivi kuwapata wateja wako? Kama ni matangazo ni matangazo ya aina gani, na kwa nani?
Sent using Jamii Forums mobile app
Nadhani pengine ni mazoea tu kwamba kwa hali ya kawaida mfanyabiashara wa kitanzania anakua haoni kama anaweza pia kupata wateja zaidi ya wale waliomzunguka mf. Dukani kwake.
Nimeona upo uwezekano wa kutengeneza mfumo wa mtandaoni ambao unaweza kukusogezea karibu wateja kutoka mbali, zaidi ya majirani wako kwenye site ya biashara yako, upo uwezekano wa kufungua duka kariakoo lakini ukawapata wateja kutoka kila kona ya jiji. Lakini pa kuanzia ni kujua ni njia gani unayotumia kwa sasa ivi kuwapata wateja wako? Kama ni matangazo ni matangazo ya aina gani, na kwa nani?
Sent using Jamii Forums mobile app