Robidinyo
JF-Expert Member
- Feb 20, 2016
- 4,043
- 8,686
Na bado atakuja mwingine atashusha, utaroga wangapi?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hakuna ya kuzuia maanake hata ukimpa maumivu zigo kashaliacha!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na bado atakuja mwingine atashusha, utaroga wangapi?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hakuna ya kuzuia maanake hata ukimpa maumivu zigo kashaliacha!
Ni kweli sasa? Au hiyo sayansi haijathibitishwa?Zamani tukiwa wadogo tulikuwa tunaamini ukiweka majivu yaliyochanganywa na chumvi kwenye 'mzigo' wa mtu aliyeushusha pagalani, lazima 'uwemba' umuwashe hadi aombe msamaha
Kwamba aliebanwa hawezi kuruka[emoji3]Kata miti yenye miiba na uiweke milangoni.wanyaji huwa hawaruki madirishani wanapitia milangoni
Ni kweli sasa? Au hiyo sayansi haijathibitishwa?
Sasa mkuu ukiweka ma grill vibaka si wanapita nazo kama upepoTafuta hela mkuu ueke grill na madirisha la sivyo watalizindua hadi kwa mpalange ikawa nuksi tu[emoji56]
Kuna huduma nyingine pia huzitekeleza humo, hujakuta maganda ya condoms kweli? Kamwe huwezi kuwatangulia wakulungwa, lazima wakuwahi kukuzindulia nyumba[emoji1787][emoji1787][emoji1787]