Unatumia sabuni gani kuogea?

Unatumia sabuni gani kuogea?

Vaseline natumia usoni tu coz uso uko sensitive kubadili badili mafuta

Lotion napaka kwingine na vile hua situlii na lotion moja sasa[emoji28]
Wewe ndo mimi kabisa. Hapa mr.juzi katoka kunisema kwann situlii kwenye lotion moja. Usoni ni vasseline au Harboline(jaribu hayo)ni mazuri naona kidogo yanashinda vasseline.

Sent from my CPH2185 using JamiiForums mobile app
 
Nimekumbuka miaka ile, kulikuwa na sabuni nzuri sana za kuogea. Mnaikumbuka Geisha? Sabuni flani hivi kubwa haswa. Ilikuwa sabuni nzuri sana.

Pia kulikuwa Revola, nilikuwa navutiwa na tangazo lake luningani. Pia wangapi wanakumbuka sabuni ya Robert Medicated Soap? Siku hizi hizo sabuni kama zimepotea hivi.

Je, kwa sasa huwa unatumia sabuni gani wakati wa kuoga?mimi siku hizi sijui kwaajili ya ubahili, natumia tu Jamaa zile za Kenya. Wewe je? Tiririka...

naogea detto ya lemon napenda harufu yake adi toilet ukiingia unaisikia
 
IMG_2410.jpg
 
Hello, hii kwa Dar napata wapi kwa bei hiyo

Hizi sabuni pharmacy ndo huwa wanauza. Kwa dar kuna pharmacy. Mara nyingi inauzwa 4,000.

Nimenunua pharmacy sudani tmk Kama unaelekea Tandika kwenye kona pale ipo kushoto.
 
Nimekumbuka miaka ile, kulikuwa na sabuni nzuri sana za kuogea. Mnaikumbuka Geisha? Sabuni flani hivi kubwa haswa. Ilikuwa sabuni nzuri sana.

Pia kulikuwa Revola, nilikuwa navutiwa na tangazo lake luningani. Pia wangapi wanakumbuka sabuni ya Robert Medicated Soap? Siku hizi hizo sabuni kama zimepotea hivi.

Je, kwa sasa huwa unatumia sabuni gani wakati wa kuoga?mimi siku hizi sijui kwaajili ya ubahili, natumia tu Jamaa zile za Kenya. Wewe je? Tiririka...

Tricona
 
Nimekumbuka miaka ile, kulikuwa na sabuni nzuri sana za kuogea. Mnaikumbuka Geisha? Sabuni flani hivi kubwa haswa. Ilikuwa sabuni nzuri sana.

Pia kulikuwa Revola, nilikuwa navutiwa na tangazo lake luningani. Pia wangapi wanakumbuka sabuni ya Robert Medicated Soap? Siku hizi hizo sabuni kama zimepotea hivi.

Je, kwa sasa huwa unatumia sabuni gani wakati wa kuoga?mimi siku hizi sijui kwaajili ya ubahili, natumia tu Jamaa zile za Kenya. Wewe je? Tiririka...
Miaka ile ndo miaka gani bro?
 
Back
Top Bottom