miss pablo
JF-Expert Member
- Jul 9, 2018
- 5,411
- 11,025
Ha ha ha na kweli. Hivi hawajawahi toaga fekero kweli? Nna mashaka kweli na wakenyaUsisahau kumpelekea Bibi zawadi ya sabuni yake aipendayo....mchukulie hata za 30,000 tu....Atafurahi sana.
Sent using Jamii Forums mobile app
Haya meku akwa. Mesha.Karibu sana mshiki akwa.
Wewe ndo mimi kabisa. Hapa mr.juzi katoka kunisema kwann situlii kwenye lotion moja. Usoni ni vasseline au Harboline(jaribu hayo)ni mazuri naona kidogo yanashinda vasseline.Vaseline natumia usoni tu coz uso uko sensitive kubadili badili mafuta
Lotion napaka kwingine na vile hua situlii na lotion moja sasa[emoji28]
Nimekumbuka miaka ile, kulikuwa na sabuni nzuri sana za kuogea. Mnaikumbuka Geisha? Sabuni flani hivi kubwa haswa. Ilikuwa sabuni nzuri sana.
Pia kulikuwa Revola, nilikuwa navutiwa na tangazo lake luningani. Pia wangapi wanakumbuka sabuni ya Robert Medicated Soap? Siku hizi hizo sabuni kama zimepotea hivi.
Je, kwa sasa huwa unatumia sabuni gani wakati wa kuoga?mimi siku hizi sijui kwaajili ya ubahili, natumia tu Jamaa zile za Kenya. Wewe je? Tiririka...
Hello, hii kwa Dar napata wapi kwa bei hiyo
Hello, hii kwa Dar napata wapi kwa bei hiyo
Mwekundu mmojaZinauzwa sh ngapi
Dove zipo tofauti tofautiMbona zipo kibao. Me mwenyewe natumia Dove miaka na nanunua Kariakoo View attachment 1906540
Wazee wa bao la mkono, mnaikumbuka hii
View attachment 1263153
Me nafikiri Imperial ni moja kati ya sabuni bora za kuogea kuwahi kutengenezwa kwa huku dunia ya 3
Kariakoo wanauza 2500 pale karibu na mataa kuna duka la vipodozi wanauza lotion yake ni elfu 9 iko poa hyo itafuteHello, hii kwa Dar napata wapi kwa bei hiyo
Nimekumbuka miaka ile, kulikuwa na sabuni nzuri sana za kuogea. Mnaikumbuka Geisha? Sabuni flani hivi kubwa haswa. Ilikuwa sabuni nzuri sana.
Pia kulikuwa Revola, nilikuwa navutiwa na tangazo lake luningani. Pia wangapi wanakumbuka sabuni ya Robert Medicated Soap? Siku hizi hizo sabuni kama zimepotea hivi.
Je, kwa sasa huwa unatumia sabuni gani wakati wa kuoga?mimi siku hizi sijui kwaajili ya ubahili, natumia tu Jamaa zile za Kenya. Wewe je? Tiririka...
Miaka ile ndo miaka gani bro?Nimekumbuka miaka ile, kulikuwa na sabuni nzuri sana za kuogea. Mnaikumbuka Geisha? Sabuni flani hivi kubwa haswa. Ilikuwa sabuni nzuri sana.
Pia kulikuwa Revola, nilikuwa navutiwa na tangazo lake luningani. Pia wangapi wanakumbuka sabuni ya Robert Medicated Soap? Siku hizi hizo sabuni kama zimepotea hivi.
Je, kwa sasa huwa unatumia sabuni gani wakati wa kuoga?mimi siku hizi sijui kwaajili ya ubahili, natumia tu Jamaa zile za Kenya. Wewe je? Tiririka...