Unatumia shilingi ngapi kwa ajili ya kifungua kinywa asubuhi?

Chapati mbili 500 + Maharage ya 500 jumla buku,nategeshea mida ya saa 4 nikipiga hii kitu kula tena saa 11 ndio mpaka kesho tena.
Wapi huko chapati 250? Tugeane ruti tuhame huku kwenye chapati 300
 
-Mihogo mitatu Tsh300 na Chai Tsh 200,Jumla Ths 500.
-Mchana Wali wa Tsh 1500.
-Usiku nakuwa Ghetto Napika Ugali nalumangia na Dagaa Mchele wa Buku.
Umewakilisha ratiba za wanafunzi wengi sana mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…