JUAN MANUEL
JF-Expert Member
- Nov 26, 2010
- 7,808
- 16,972
Mihogo mitano ya kukahanga,500Tsh,Chai kikombe kimoja,200Tsh,jumla 700,siku nikiwa vzr,mtori na chapati 2,2600Tsh
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji3][emoji3][emoji16][emoji16][emoji16]Kama ni mikubwa kama ya mama Jaki huli hadi kesho
Ni mazoea tuu.Siku moja haitoshi.Nilisikia hiyo stori kua kahawa inakata njaa nikajaribu. Ni uongo nilikoma siku hiyo.
Mikoani,nani anunue chapati ya 500 huku?Mkuu wapi chapati 200?
Mbona kwingi tu!Mkuu wapi chapati 200?
Nipo jirani ila out of darWewe upoo?
DSMWapi huko
Aaah..ndio maana sikuoni kuleeNipo jirani ila out of dar
Duh! no offence chief....hiyo supu ya 500 ni ya aina gani!!?Heshima yenu wadau.
Nimekaa muda huu nikakumbuka kifungua kinywa changu. Nimekula vitumbua 10 na supu ya utumbo.
Kitumbua kimoja shilingi 100 hivyo nimetumia 1000 kwa ajili ya vitumbua. Supu ni 500.
Jumla asubuhi nimetumia 1500.
Mwenzangu unatumia shilingi ngapi kwa ajili ya asubuhi?
hahaha [emoji23][emoji23]Mia tano tu.
Andazi 1 300 + chai 200
Chai ni kifungua kinywa tu
Sasa unakula vitumbua 10 kumkomoa nani na wakati mchana kuna lunch
ningeshangaa nisingekuona hapa homieWapendwa usiangalie mwenzio kala nini na wewe uige, angalia mwili wako unahitaji nini kwa wakati gani? Hatulingani afya zetu, usione mwenzio anafakamia starch kumbe mwili wake unahitaji hio zaidi. Ukiiga anayefakamia protini wakati wewe kwako zimezidi pia ni matatizo.
Chunguza mwili wako unahitaji nini ndo ule, kama husikii njaa usile kabisa ujue siku hiyo mwili unatumia akiba yake ya mwili.
Kasie Mahaba mpenda Misosi Yote!!😉