Unatumia shilingi ngapi kwa ajili ya kifungua kinywa asubuhi?

Unatumia shilingi ngapi kwa ajili ya kifungua kinywa asubuhi?

Mihogo mitano ya kukahanga,500Tsh,Chai kikombe kimoja,200Tsh,jumla 700,siku nikiwa vzr,mtori na chapati 2,2600Tsh
 
Supu ya kuku 5,000/ chapati 2 1,000 Maziwa 1,000 juice au salad 3,000 Jumla 10,000/=
 
Sambusa 3.... 1500
Chapel 1....500
Mayai 2.....1000
Soseji 1.....800
Maziwa.... 500
Juice....... 1000
 
Heshima yenu wadau.

Nimekaa muda huu nikakumbuka kifungua kinywa changu. Nimekula vitumbua 10 na supu ya utumbo.

Kitumbua kimoja shilingi 100 hivyo nimetumia 1000 kwa ajili ya vitumbua. Supu ni 500.
Jumla asubuhi nimetumia 1500.

Mwenzangu unatumia shilingi ngapi kwa ajili ya asubuhi?
Duh! no offence chief....hiyo supu ya 500 ni ya aina gani!!?
 
Wapendwa usiangalie mwenzio kala nini na wewe uige, angalia mwili wako unahitaji nini kwa wakati gani? Hatulingani afya zetu, usione mwenzio anafakamia starch kumbe mwili wake unahitaji hio zaidi. Ukiiga anayefakamia protini wakati wewe kwako zimezidi pia ni matatizo.

Chunguza mwili wako unahitaji nini ndo ule, kama husikii njaa usile kabisa ujue siku hiyo mwili unatumia akiba yake ya mwili.

Kasie Mahaba mpenda Misosi Yote!!😉
ningeshangaa nisingekuona hapa homie
 
Back
Top Bottom