Unatumia utaalamu gani kufanya chapati zako za kusukuma ziwe laini?

Unatumia utaalamu gani kufanya chapati zako za kusukuma ziwe laini?

Huon ni chache tu tano next time nitakushangazaaa maana kwa kukosoa hujambo hivi unajua kupika wewe?
Weeeeeeeeeeeeeeeeee acha tu nisiseme hapa nitaonekana mbwembwe ila kiukweli ni kwamba katika kupika aaaah alhamdulilah nikaa jikoni najua kutengeneza chakula cha kumfanya mama mkwe amuonee wivu binti yake.
 
Weeeeeeeeeeeeeeeeee acha tu nisiseme hapa nitaonekana mbwembwe ila kiukweli ni kwamba katika kupika aaaah alhamdulilah nikaa jikoni najua kutengeneza chakula cha kumfanya mama mkwe amuonee wivu binti yake.

Chapati 🫓 unajua???
 
Hivi zile za azam ambazo keshatengeneza kazi ni ya kuzipika tu zina madhara?
 
Chapat Ili ziwe laini kama unauwezo tumia samli kukanda had kupika hata mafuta zinatoka vizuri ila samli is the best wengine wanaongeza maziwa ya unga hii sio kilamtu kw wanaopenda

Ukikanda unga ufunike na uache Kwa dakika kadhaa hata lisaa ukipenda utaona utofauti ngano inakula smooth sana
Hatua zngine ni za kawaida zinaeleweka
 
Usicheke nishawajua msiojua
Yan mm nimejifunza kupika nikiwa darsa la nne nilinunuliwa visufuria vidogo nachimba shimo naweka mkaa napuliza na mdomo 😀
Ukipetwa mchele unapewa chenga unapika 😀maganda ya nyanya wakikaa vibaya unaiba vitunguu na mafuta🤣🤣
😀had viive, had la tano napika chakula Cha familia now napika hata Cha watu 20 mwenyew na kupika ndio shughuli kuu ya kwanza naipenda kwenye maishayangu
 
Yan mm nimejifunza kupika nikiwa darsa la nne nilinunuliwa visufuria vidogo nachimba shimo naweka mkaa napuliza na mdomo [emoji3]
Ukipetwa mchele unapewa chenga unapika [emoji3]maganda ya nyanya wakikaa vibaya unaiba vitunguu na mafuta[emoji1787][emoji1787]
[emoji3]had viive, had la tano napika chakula Cha familia now napika hata Cha watu 20 mwenyew na kupika ndio shughuli kuu ya kwanza naipenda kwenye maishayangu
Hongera sana.
Kuna Watanzania hawajui pika na wana miaka 35
 
Mapishi yyt ni viungo unavyotumia. ..unatakiwa kubalance viungo vyote. ..kwa chapati ule muda wakusubiri iumuke nimuhimu mno kuliko hatakuikata nakuipika hio chapati pale ndio watu huahawana huo uvumilivu
 
Chapat Ili ziwe laini kama unauwezo tumia samli kukanda had kupika hata mafuta zinatoka vizuri ila samli is the best wengine wanaongeza maziwa ya unga hii sio kilamtu kw wanaopenda

Ukikanda unga ufunike na uache Kwa dakika kadhaa hata lisaa ukipenda utaona utofauti ngano inakula smooth sana
Hatua zngine ni za kawaida zinaeleweka

Zaman nilipenda sana Samli
Siku hizi sipendi kabisa Samli nataka kutapika kabisa
 
Zaman nilipenda sana Samli
Siku hizi sipendi kabisa Samli nataka kutapika kabisa
Pole bas tumia mafuta
Juz nilijaribu kukanda na mafuta kidogo nikachanganya na prestige na wakati wa kuzipaka mafuta na kuzikunja nikatumia prestige nikazichoma Kwa mafuta zilikuwa tamu sana na laini zikabaki nikazisahau nikashtuka siku ya pili jion Bado zilikuwa laini sana
 
Back
Top Bottom