Naby Keita
JF-Expert Member
- Oct 20, 2011
- 12,893
- 20,089
Kupika chapati nayo inahitaji nyotaπππππππ nielekezen sasa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kupika chapati nayo inahitaji nyotaπππππππ nielekezen sasa
Ukijifunza unajua ππΌββοΈπKupika chapati nayo inahitaji nyota
Hebu niusubiri huo moyo wa kujaribuUsinichekeshe bhaana kamamaa, tutaongea vyema siku moja ukipata moyo tena wa kujaribu, tuone ni wapi panatatiza,
You can do better than that I know,
Muda wa kupika sina kwa sasaUsikate tamaa rudia tena kujifunza. Kuna watu ni watalaamu wa kupika chapati. Zungumza na mojawapo aje kwako au uende kwake akupe usimamizi wa hatua kwa hatua hadi upatie. Na ukipatia fululiza hata miezi mitatu kwa kila wiki uwe unapika chapati walau mara 4 hii itakufanya uweze kufuzu na kumudu kuwa mpishi mzuri wa chapati.
Mafuta kidogo na maji ya vuguvuguUsichoke bhana,je wakati wa kukanda unga huwa unakanda na mafuta kiasi au maji tupu.
Kabla ya kuanza chochote ukishaweka chumvi kwwnye unga wako na kusambaza ienee, ukusanye uinuke na katikati weka kishimo na uweke mafuta ya kula ya kutosha na kisha uchukue unga wa pembeni ufunikw shimo hilo la mafuta. Baada ya hapo changanya unga vizuri hadi mafuta yaendee kote na kuufanya unga uwe na vidonge vidogovidogo kutokana na mafuta hayo. Ukimaliza hapo ndiyo unaweka maji kiasi na kuanza kuukanda unga.Wakato wa kukanda?tuelekeze sasa
Nikiona mada za chapati namkumbuka dada yangu Carleen
Binafsi mbinu zote nimemaliza lakini tokeo la mwisho ni lile lile either kaukau ama ugumu...nimeamua kukubali kushindwa
Duh uwiii! πKupika chapati nayo inahitaji nyota
Chapati zinafanya danga lihamie nyumba fulani....... Kama huna nyota ya chapati hapa mjini mdada utapata shida sana,,, watu asubuhi wanataka supu chapatiDuh uwiii! π
Unanitia pressure bwana! πππChapati zinafanya danga lihamie nyumba fulani....... Kama huna nyota ya chapati hapa mjini mdada utapata shida sana,,, watu asubuhi wanataka supu chapati
Kijana wa watu umemtesa usiku mzima asubuhi pia unampa mateso ya chapati kama mkate wa waebraniaUnanitia pressure bwana! πππ
Kuna chapati nililutana nayo DRC!!yaani ilivyokauka ni kama kipande cha bati,akikirusha kinakuumiza,nilichemka lakini huo mgahawa watu ndio wanausifia balaaa,ni za kugombaniaWajengewe mnara wao kwakweli
Maandazi ndio nimefanikiwa kuelewa. Chapati za kusukuma bado bila bila ππ
Ila nitakaza mpaka mwaka uishe huu niwe nimeelewa.
View attachment 2614294View attachment 2614297
Kabla ya kuanza chochote ukishaweka chumvi kwwnye unga wako na kusambaza ienee, ukusanye uinuke na katikati weka kishimo na uweke mafuta ya kula ya kutosha na kisha uchukue unga wa pembeni ufunikw shimo hilo la mafuta. Baada ya hapo changanya unga vizuri hadi mafuta yaendee kote na kuufanya unga uwe na vidonge vidogovidogo kutokana na mafuta hayo. Ukimaliza hapo ndiyo unaweka maji kiasi na kuanza kuukanda unga.
Kama unga utakuwa unakatika ongeza maji kidogo na uendelee kukanda vyema huku ukiongezea unga ili isinate sana. Ukimaliza kukanda kabisa na kuufanya unga wa donge moja lililokamilika. Gawanya donge lako kwa mafungu kadhaa kulingana na idadi ya chapati unazotaka kuzipika.
Sasa sukuma donge moja na kuliweka kwenye umbo la chapati kisha chukua mafuta ya kula kwenye kijiko na sambaza juu yake. Baada ya hapo likunje vyema na kuliweka kando. Rudia kwa madonge yote mpaka yaishe kisha yaache kwa muda robo saa hivi.
Ukifika muda sasa ndiyo unaanza kusukuma donge moja baada ya jingine kuwa chapati kamili kwa ajili ya kupikwa
Nitajaribu tena kupikaKabla ya kuanza chochote ukishaweka chumvi kwwnye unga wako na kusambaza ienee, ukusanye uinuke na katikati weka kishimo na uweke mafuta ya kula ya kutosha na kisha uchukue unga wa pembeni ufunikw shimo hilo la mafuta. Baada ya hapo changanya unga vizuri hadi mafuta yaendee kote na kuufanya unga uwe na vidonge vidogovidogo kutokana na mafuta hayo. Ukimaliza hapo ndiyo unaweka maji kiasi na kuanza kuukanda unga.
Kama unga utakuwa unakatika ongeza maji kidogo na uendelee kukanda vyema huku ukiongezea unga ili isinate sana. Ukimaliza kukanda kabisa na kuufanya unga wa donge moja lililokamilika. Gawanya donge lako kwa mafungu kadhaa kulingana na idadi ya chapati unazotaka kuzipika.
Sasa sukuma donge moja na kuliweka kwenye umbo la chapati kisha chukua mafuta ya kula kwenye kijiko na sambaza juu yake. Baada ya hapo likunje vyema na kuliweka kando. Rudia kwa madonge yote mpaka yaishe kisha yaache kwa muda robo saa hivi.
Ukifika muda sasa ndiyo unaanza kusukuma donge moja baada ya jingine kuwa chapati kamili kwa ajili ya kupikwa
πππNjoo kwangu nikupe MBWINU za chapati kutoka laini.
Bado πUmeshaolewa ??π€£