Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
PIKENI CHAPATI ZA MAJI , NI LAINI NA NZURI MNO HAZIITAJI KUANDAA
Chapati za maji tamuuu pia afuuu uandaaji wake haitumiii muda mwinguNa za kusukuma tamu sana
Mie napikaga hizi momboz hata dakika 20 hazipitiNa za kusukuma tamu sana
Sijapenda my kaka kunishushua hadharani hivi 🤣
Daily utakula za aina moja?PIKENI CHAPATI ZA MAJI , NI LAINI NA NZURI MNO HAZIITAJI KUANDAA MUDA MREEEEEEEEFU
Nikiona chapati za hivi nikalinganisha na zangu najiona sina bahatiUtakuta unakosea kitu kidogo mno mdogo wangu..!!
View attachment 2614310
Usinichekeshe bhaana kamamaa, tutaongea vyema siku moja ukipata moyo tena wa kujaribu, tuone ni wapi panatatiza,Nikiona chapati za hivi nikalinganisha na zangu najiona sina bahati
Usihangaike na mie kwenye chapati,nishajikatia tamaa 🤧
Usikate tamaa rudia tena kujifunza. Kuna watu ni watalaamu wa kupika chapati. Zungumza na mojawapo aje kwako au uende kwake akupe usimamizi wa hatua kwa hatua hadi upatie. Na ukipatia fululiza hata miezi mitatu kwa kila wiki uwe unapika chapati walau mara 4 hii itakufanya uweze kufuzu na kumudu kuwa mpishi mzuri wa chapati.Nikiona mada za chapati namkumbuka dada yangu Carleen
Binafsi mbinu zote nimemaliza lakini tokeo la mwisho ni lile lile either kaukau ama ugumu...nimeamua kukubali kushindwa
Unajua kupika nini?Nahisi nina ugomvi na mapishi ya ngano kila nikijitahidi kupika hayakubali
Zile sio chapati, ule ni mkate maarufu sana huko uarabuni na kwa waisrael. Namna unavyookwa ni kama vile Pizza.Eee kama vile [emoji23][emoji23][emoji23]
Mwanamke asipojua kupika chapati ni changamoto sana babu.Kuna kijiji moja nlienda, kuna migahawa miwili.
Wa kwanza n mams mmoja anajidai mjanja mjanja, akipika chapati anaweka kama 10 hv kwenye kikaango, zikitoka n kama shuka za gesti, nyeupee af mbichi!
Wa pili n mmama mtu mzima, ye hana haraka, taratiibu hatauwe mia, atachoma moja moja. Changamoto yake ni hygiene. Anaeza akasukuma, ghafla akajikuna mguu af akaendelea. Lakini zake zimeiva na tamu.
But kwa hawa wadada wa siku hz kabla hujaeka kambi bora ujue kwanza anaju kuzisukuma au la. Maana unaoa pisi kali, af anakupikia "amoeba" instead of chapoo
Ile hailiwi kavu kavu, lazima uwe na nyama ya kondoo, mbuzi au kuku ya mchuzi ule mchuzi dikodiko ndio unalia hizo chapati.Ipo waarabu hutengeneza kama hiyo ya yesu wanaita mikate migumu sijawah ona ladha yake kiukweli ila waarabu wanapenda ni chakula chao
Zile zinakera halafu unakula na nini hizo chapati za maji.PIKENI CHAPATI ZA MAJI , NI LAINI NA NZURI MNO HAZIITAJI KUANDAA MUDA MREEEEEEEEFU
Haya majina haya mliniacha mbali kweli [emoji3][emoji3][emoji3], sisi tunaita mkate wa bwanaIpo waarabu hutengeneza kama hiyo ya yesu wanaita mikate migumu sijawah ona ladha yake kiukweli ila waarabu wanapenda ni chakula chao
Naona walishakubal kuwa chapati zimeshindikana kwao😂 😂 😂 wenzake hawajiongezi kupata maujuzi?