Pole bas tumia mafuta
Juz nilijaribu kukanda na mafuta kidogo nikachanganya na prestige na wakati wa kuzipaka mafuta na kuzikunja nikatumia prestige nikazichoma Kwa mafuta zilikuwa tamu sana na laini zikabaki nikazisahau nikashtuka siku ya pili jion Bado zilikuwa laini sana
Naweza fanya order kila weekend kama upo Dar!!!Habari Wakuu,
Chapati za kusukuma ni pishi ambalo limekuwa changamoto kwa watu wengi, mtu anajitahidi alkini mwisho wa siku anatoa chapati ngumu na imesimama kama siniaππ€£.
Mbinu ninayotumia mimi kufanya chapati iwe ni laini, ni kukanda unga na kuhakikisha umekuwa laini kabisa. Tumia hata muda mrefu kama huna nguvu sana mikononi ila hakikisha donge lako linakuwa laini kabisa. Na kipindi unakunja mwanzo fanya iwe nyembamba sana kama karatsi, muda wa kusukuma ili uchome iwe wastani, isiwe nene sana haitaiva na isiwe nyembamba sana itakua kaukau.
Pia wakati wa kuchoma, kama umeweka chapati kwenye kikaango na haifuri jua kuna kitu umekosea, inaweza kuwa hujakanda unga vizuri au umeweka nene.
Lete maujuzi yako mpishi, unatumia njia gani kufanya chapati yako inakuwa laini?
HongeraView attachment 2616844
View attachment 2616845
View attachment 2616846
Nyie leo nimejitahidii zimetoka laini [emoji23][emoji23][emoji23]
Zemanda njoo maana huwa unanikosoa sana
Wiki ijayo nitapika tena ziwe laini kama cake πHongera
[emoji3]Practice makes perfectWiki ijayo nitapika tena ziwe laini kama cake [emoji23]
Asante Hassan[emoji3]Practice makes perfect
hamna ziko poa, azam ya buguruni pale kuna jamaa anapika chapati sijawai ona alafu ni msela tuHivi zile za azam ambazo keshatengeneza kazi ni ya kuzipika tu zina madhara?
Naulizia zile ambazo zinauzwa super market kwamba wewe waenda zichoma tuhamna ziko poa, azam ya buguruni pale kuna jamaa anapika chapati sijawai ona alafu ni msela tu
Kweny kuchanganya unga wako kabla hujakanda jaribu kutia sukari kidogo inafanya unga kua laini.Nikiona mada za chapati namkumbuka dada yangu Carleen
Binafsi mbinu zote nimemaliza lakini tokeo la mwisho ni lile lile either kaukau ama ugumu...nimeamua kukubali kushindwa
π
πππMimi nina Aunt yangu mmoja anaishi tanga aisee yaani akipika chapati zake wallahi utaenjoy zinakuwa laini mno ukila mpaka raha yaaan..sasa nina manzi yangu siku moja ananiambia babe leo nakupikia chapati maini nami nikajibu hayaaaa twende kazi..ahahahah jamani chapati ngumu kuliko maisha yangu.nilicheka mpaka akasusa kula.