Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hawa jamaa wako vizuri,naupenda ule wa where is the loveBlack ayed peas ___ Just Can't get it enough
Sauti nimeweka nusu, sipendi makelele. Kwa sababu iko na vibration fresh naskia mana nakuaga na simu karibu mara nyingi
Zote nzuri ila zipo taratibu mnoSIM.1 Ed Sheeran_ overpass graffiti
SIM.2 David Guetta This one's for you
OkSauti nimeweka nusu, sipendi makelele. Kwa sababu iko na vibration fresh naskia mana nakuaga na simu karibu mara nyingi
Sent using Jamii Forums mobile app
Mzuri ila nimeambulia kujua maana ya Mi amor,na Mi corazon tu[emoji3],quiero ser un cantante by manuel turizo
Jojo-too Little too lateWakuu,
Kila mtu ana ladha yake kwenye kuweka muito wa simu(ringtone),wengine hutumia ringtone zilizokuja na simu na wengine hutumia(local ringtone)yaani ile miziki alizohifadhi kwenye simu yake kutokana ya aina ya muziki anaopendelea,wengine huweka mahubiri,wengine sauti ya wanyama,background za movie nk.
Na kuna wale wa vibration full time(hawa ndio nahisi huwa hawapokei namba ngeni(sijui kwanini[emoji848][emoji3])
Pia,wengine huweka ili kutofautisha aina ya wapigaji kwenye simu yake.
Mimi natumia wimbo wa Man down wa Rihanna sababu unaanza na beat zuri lililochanganika na king'ora cha polisi hivyo ni rahisi kusikia.
Wewe unatumia ringtone ipi? na kwanini?
Karibu.
]