Unatumiaje JamiiForums kujiingizia maokoto?

Unatumiaje JamiiForums kujiingizia maokoto?

Mimi huwa natangazaga biashara yangu ya matairi na mabetri ya magari nashukuru Mungu kuna baadhi ya memba wananiungishaga
 
Mm nawaombaga hela wakuu kama nawadai vile!

20240202_220736.jpg


KaziKweliKweli/JobTrueTrue
 
Mm nawaombaga hela wakuu kama nawadai vile!

20240202_220736.jpg


KaziKweliKweli/JobTrueTrue
 
Back
Top Bottom