Mshangazi dot com
JF-Expert Member
- Nov 19, 2011
- 1,345
- 3,503
Nimeamka na kuona hii habari, alichokifanya huyu kijana kinasikitisha. Amekatisha uhai wa huyu binti angali mdogo na amejiharibia future yake maana ataenda gerezani maisha.
Eti wanajamvi, hii tamaa ya mbususu inaweza kukufikisha kwenye hatua hii?
Eti wanajamvi, hii tamaa ya mbususu inaweza kukufikisha kwenye hatua hii?