sanalii
JF-Expert Member
- Oct 1, 2018
- 1,639
- 5,767
Ni usiku ambao hauchi, kulala hulali, usingizi hauji.
Leo nimekuja sehemu imebidi nilale, kuna mbu na joto balaa, hakuna fan, hakuna dawa za mbu, ni kaz juu ya kazi. Nimekumbuka sana nyumbani.
Pia soma: Faida na hasara za kusafiri mikoani na mabasi ya usiku
Usiku umekua mrefu sana.
Leo nimekuja sehemu imebidi nilale, kuna mbu na joto balaa, hakuna fan, hakuna dawa za mbu, ni kaz juu ya kazi. Nimekumbuka sana nyumbani.
Pia soma: Faida na hasara za kusafiri mikoani na mabasi ya usiku
Usiku umekua mrefu sana.