figganigga
JF-Expert Member
- Oct 17, 2010
- 25,724
- 55,906
- Thread starter
-
- #21
mkuu salaam, ama baada ya salam rejea kichwa cha habari hapo juu. sasa nilitaka kujua hoja ya kama kilo zimeongezeka ama kupungua inatokea wapi ilhali umetuambia tuujue uzito wetu bila kutumia mizani? Je unakiri kwamba haiwezekani kufahamu tofauti ya uzito ulio nao na unaotakiwa kuwa nao bila mzani? Mia
Mkuu me sipingani na hoja, lakini ili kuongeza uelewa nina swali. Je kama nina urefu chini ya sentimita mia?
mkuu salaam, ama baada ya salam rejea kichwa cha habari hapo juu. sasa nilitaka kujua hoja ya kama kilo zimeongezeka ama kupungua inatokea wapi ilhali umetuambia tuujue uzito wetu bila kutumia mizani? Je unakiri kwamba haiwezekani kufahamu tofauti ya uzito ulio nao na unaotakiwa kuwa nao bila mzani? Mia
mkuu salaam, ama baada ya salam rejea kichwa cha habari hapo juu. sasa nilitaka kujua hoja ya kama kilo zimeongezeka ama kupungua inatokea wapi ilhali umetuambia tuujue uzito wetu bila kutumia mizani? Je unakiri kwamba haiwezekani kufahamu tofauti ya uzito ulio nao na unaotakiwa kuwa nao bila mzani? Mia
una maswali kama ya wanafunzi wa yesu.wewe nikikupa huo mzani ukajipima utanipa tofauti ya kilo zako?.mia
Hongera kwa ubunifu. Wakuu naona hamjamwelewa yeye anazungumzia kilo ambazo unatakiwa uwe nazo in relation to your height ingawa amekosea kusema pima bila kutumia mzani, kwa jinsi ninavyofahamu uzito in relation to your height inakumpa kitu kiitwacho MBI yaani body mass index. BMI= W/H2 . H= height square should be in metre. BMI 18.5 - 24.5 normal, < 18.5 underweight, 25-33 over weight and > 33 obesity. Sasa ukichukua formulae ya mshikaji hapo ni kwamba ukipima urefu wako nafikiri ni applicable kwa adult, mfano mimi urefu wangu ni 156cm ukitoa 100 inabaki 56cm. Sasa inamaana uzito wangu kwa kawaida inatakiwa niwe na kg 56. Ukitafuta BMI kwa kg 56 na urefu 156cm BMI inakuwa 23 ambayo ni normal. Lakini sasa mimi nina kg 67 kwa urefu huo huo yaani 156cm ambapo unapata BMI ya 27.5 ambayo ni over weight. Hivyo natakiwa nipunguze kg 11 ili niwe na BMI 23: sasa basi inamaana ukijua urefu wako na uzito wako itakurahisishia kujua zimezidi kilo ngapi. Naamini mtanielewa kama hujaelewa uliza swali.
hahahaaa...!!mkuu umenichekesha sana.huyo dogo yupo humu jf?sababu hii inahusu wana jf tu.nigongee ka like basi na wewe!.mia
NIna urefu wa sm178 kwa hiyo ilitakiwa niwe na kilo 78 kwa mujibu wa kanuni yako hii. lakini niliposimama kwenye mizani ikasoma kilo 98, hii inakuwaje mtaalamu?
Ina maana jibu hulijui kwa nini umepitiriza ma kilo.Jibu ni UTAPIA MLO UNAO.