Unaujua uzito wako?kama hujui pima uzito wako hapa bila kutumia mzani

Unaujua uzito wako?kama hujui pima uzito wako hapa bila kutumia mzani

jamii forum bana!!!, wakati mwingine bora kusoma ya wengine, kila mtu akiandika hapa, walau kila mara atatokea mtu kuweka ukweli
 
habari yako mwana jf.
unataka kujua kilo zako?
fanya hivi;
pima ulefu wako kwa sentimeta halafu utoe 100.jibu utakalo pata ndo kilo zako.kama zitapungua kula ziongezeke ,kama zinazidi zipunguze.
mfano;urefu wako kutoka kichwani hadi kwenye visigino ni cm 160.ikitoa mia inabakia 60.hiyo 60 ndo kilo zako zinazotakiwa mwilini.fanya hilo zoezi.
keep it 100.halafu leo sijapata likes za kutosha naomba unigongee baada ya zoezi.mia
Ndiyo maana mwanangu simuoni... Sasa nimepata jibu. Ana urefu wa cm 49, hivyo atakuwa kazama chini ya ardhi kwa cm 51 maana 49-100= -51
 
it works,ila kwa wafupi below 100 cm zoez litakuwa gumu
 
Haiwezi kua kweli kwa kila mtu kwasababu sio kila mtu urefu wake unawiana na uzito.I mean imagine chibonge chenye chenye kg 140 wakati hazidi hata cm 160....

Ila kwa mtu ambae urefu na uzito unawiana unaweza kabisa ukapata namba kamili.
 
Wewe Abunuasi hizio NDOTO zako peleka kwenye Jokes.
 
jamii forum bana!!!, wakati mwingine bora kusoma ya wengine, kila mtu akiandika hapa, walau kila mara atatokea mtu kuweka ukweli

JF ni chiboko!!
Mie mwenyewe niliisha kurupuka kukamata rula lakini baada ya kupitie comments zilizofuata....nimetupilia mbali na hiyo rula coz kuna jamaa hapa hamuoni mtoto wake coz ana kilo 49 kumbe amezama chini kwa kilo 51.
 
It doesnt work for any height below 145cm!! Jaribu kutafuta njia ambayo ni applicable kwa kila mtu. Ila pia hii njia haikupi uzito ulio nao ila inakupa suggestion ya uzito unaostahili kuwa nao! Nadhani ingekuwa vizuri kama ungetofautisha haya mambo mawili.
Mfano: mimi nina 178cm, inamaanisha nastahili kuwa na 78kg, ila bila mizani sitoweza kujua exactly nina kg ngapi!!


sikupi like. mia
 
It doesnt work for any height below 145cm!! Jaribu kutafuta njia ambayo ni applicable kwa kila mtu. Ila pia hii njia haikupi uzito ulio nao ila inakupa suggestion ya uzito unaostahili kuwa nao! Nadhani ingekuwa vizuri kama ungetofautisha haya mambo mawili.
Mfano: mimi nina 178cm, inamaanisha nastahili kuwa na 78kg, ila bila mizani sitoweza kujua exactly nina kg ngapi!!


sikupi like. mia

umenionea mkuu. yaani hata like moja unaninyima? basi fanya hivyo ulivyosema. mia
 
JF ni chiboko!!
Mie mwenyewe niliisha kurupuka kukamata rula lakini baada ya kupitie comments zilizofuata....nimetupilia mbali na hiyo rula coz kuna jamaa hapa hamuoni mtoto wake coz ana kilo 49 kumbe amezama chini kwa kilo 51.

wenye majina kama lako huwa wabishi wabishi kama nini. huwa wanakuwa na wivu sana. Mia
 
sawa.rula ya kupima ulefu nmekosa nifanyeje?
 
Kakosea kuweka terms , condition and limitation
 
hiyo formula siyo valid maana inabagua umri mkuu

Wanahesabu wanasema inakubalika maana kuna kanuni zao nyingine zinazingatia IBC(Initial Boundary conditions) (h)uwenda hii ni mojawapo.
 
Back
Top Bottom