Ng'wanapagi
JF-Expert Member
- Sep 18, 2013
- 9,116
- 8,652
Je,utaunga mkono uamuzi wowote wa kumfanya Lowassa awe mgombea uraisi kwa ticket ya CHADEMA/UKAWA endapo uamuzi huo utafikiwa?
Jibu Ndio/Hapana/Sijui
Kura hii inawahusu pro-UKAWA wote na wengine wenye kuunga mkono umoja huu.
Ndiooooooooooo
hapana. Inatia kinyaa hata kufikiria hiyo possibility.
Kyoma! Una lako jamboNdiooooo