Unavaa size gani ya kiatu?

Unavaa size gani ya kiatu?

Naam

Aisee katika changamoto nazipitia katika haya maisha ni linapokuja swala la kiatu Cha kuvaa .

Nina miguu mikubwa sana mguu wa kushoto navaa namba 45 na wa kulia navaa namba 45 na nusu

Viatu vya mguu wangu gharama sana

Dukani ukitaka vile vya ngozi sio chini ya 100k

Na vya mtumba vya ngozi sio chini ya 35k

Vitu vya mtaani vile wanavyopanga vya buku kumi kumi havinifai maana stail yangu kutembea nashusha kishindo Cha haja ardhini .Nimejaribu sana kuacha hio tabia kutembea kiminyato[emoji3]nimeshindwa

Wakati mwingine naweza pata viatu hivyo vya saizi yangu still vinakuwa vinanibana bado[emoji45]

Hii ni kutokana na mguu wangu mmoja una dole kubwa sana na pana[emoji1787]

Daah Ni changamoto kweli

Wewe je unavaa sauzi gani ya kitu.?

Ni changamoto zipi unapitia?

Karibuni watanashati na wanalimbwende[emoji4]

Sent using Jamii Forums mobile app
Dugu moja.... 45
 
Naam

Aisee katika changamoto nazipitia katika haya maisha ni linapokuja swala la kiatu Cha kuvaa .

Nina miguu mikubwa sana mguu wa kushoto navaa namba 45 na wa kulia navaa namba 45 na nusu

Viatu vya mguu wangu gharama sana

Dukani ukitaka vile vya ngozi sio chini ya 100k

Na vya mtumba vya ngozi sio chini ya 35k

Vitu vya mtaani vile wanavyopanga vya buku kumi kumi havinifai maana stail yangu kutembea nashusha kishindo Cha haja ardhini .Nimejaribu sana kuacha hio tabia kutembea kiminyato[emoji3]nimeshindwa

Wakati mwingine naweza pata viatu hivyo vya saizi yangu still vinakuwa vinanibana bado[emoji45]

Hii ni kutokana na mguu wangu mmoja una dole kubwa sana na pana[emoji1787]

Daah Ni changamoto kweli

Wewe je unavaa sauzi gani ya kitu.?

Ni changamoto zipi unapitia?

Karibuni watanashati na wanalimbwende[emoji4]

Sent using Jamii Forums mobile app
Picha ya mguu wako kama wa bata iko wapi?
[emoji2370]
 
Back
Top Bottom